D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Hmmmm!!!
Basi Tena jamaa kapredict hamna hamna sare😂We are back again
Ni wale wale vijana wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro boys vijana wakutajika hawa wanashuka kuja kuwashika.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Nottingham forest 0 vs Manchester united 2
Tutapiga kama ngoma leoView attachment 3290393
Ah kumbe ulitabiri 😅😅😅We are back again
Ni wale wale vijana wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro boys vijana wakutajika hawa wanashuka kuja kuwashika.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Nottingham forest 0 vs Manchester united 2
Tutapiga kama ngoma leoView attachment 3290393
Hakuna mwenye akili ya mpira kuanzia Hakika Ruben hadi mashabikiMtu pekee alikuwa wa kutuokolea hii game alikuwa ni MAGUIRE...lakini kocha kashachelewa.
Sawa hongereni kwa ushindiHawa Forest leo watalala na viatu, sio kwa mpira huo waliopigiwa.