Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20250401_211531_Chrome.jpg

Hmmmm!!!
 
We are back again

Ni wale wale vijana wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro boys vijana wakutajika hawa wanashuka kuja kuwashika.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Nottingham forest 0 vs Manchester united 2

Tutapiga kama ngoma leo
1743532334418.jpg
 
We are back again

Ni wale wale vijana wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro boys vijana wakutajika hawa wanashuka kuja kuwashika.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Nottingham forest 0 vs Manchester united 2

Tutapiga kama ngoma leoView attachment 3290393
Basi Tena jamaa kapredict hamna hamna sare😂
 
We are back again

Ni wale wale vijana wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro boys vijana wakutajika hawa wanashuka kuja kuwashika.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Nottingham forest 0 vs Manchester united 2

Tutapiga kama ngoma leoView attachment 3290393
Ah kumbe ulitabiri 😅😅😅
 
Mtu pekee alikuwa wa kutuokolea hii game alikuwa ni MAGUIRE...lakini kocha kashachelewa.
 
Garnachoyo limezidi sana ubinafsi, sehemu ya kutoa pasi linalazimisha kufunga kenge kabisa hili.
 
Hawa Forest leo watalala na viatu, sio kwa mpira huo waliopigiwa.
 
Back
Top Bottom