John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Mtoto umri mdogo leny nyoro sahv tu pancha umri ukienda huko si atakaa Msimu mzima njeView attachment 3280814
Mwaka wetu huu
Mtoto umri mdogo leny nyoro sahv tu pancha umri ukienda huko si atakaa Msimu mzima njeView attachment 3280814
Mwaka wetu huu
kipindi icho bado pep haja reinvent the game, yani zama za kale, ukipanga hii timu dhidi ya Guardiola mwenye njaa ya mafanikio unapigwa kumi zako safi, imagine hii timu dhidi ya Barcelona ya pep iliyomtetemesha miaka ile, si angezima kabisaBabu kama babu
Anatumia nguvu nyingi kuliko akili kila muda sliding tackle tuHuyu Leny Yoro nae kila mara anaumia?
Ndio vizuri watupe hela, na Anthony kule anatakata.Timu yetu inashida, kuna shida kubwa Mahalo. Rashford ametakata. Sasa anasubiri nusu fainali FA.
Man utd vs aston villa
FA Cup semi final
Vijana
Live
View: https://www.youtube.com/live/UGUZVaOTWlI?si=-D6_2OUP7WkwPlyy
Ni kweli nimeichek game vichezaji vingi vya kawaida hata Odo mwenyeweKwa nilichokiona kwenye mechi hii, vijana wengi bado wana safari ndefu ya kucheza timu kubwa.
Ligi kuu ni ngumu sana
JidanganyeKama leo unamfata Notigham mazima, alafu unaweka na 4+ 💥💥
Basi Tena jamaa kapredict hamna hamna sare😂We are back again
Ni wale wale vijana wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro boys vijana wakutajika hawa wanashuka kuja kuwashika.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Nottingham forest 0 vs Manchester united 2
Tutapiga kama ngoma leoView attachment 3290393