Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Quenda kwenda CFC habari nzuri sana, UTD kwa namna ilitaka mtumia ingekuwa ni kuchelewesha maendeleo yake. Kingine dili lake linampa nguvu kubwa sana "AGENT" juu ya timu. (CFC Hawajui nini wanataka pale maana wana Palmer, Paez, Estevao, Neto, Madueke, Tyrique, Wote wanaweza kuwa RW/LW)
Kuna mbadala wa Quenda, Roger Fernandes, Kwa ile role ya RWB kama timu inataka kwenda na (Unorthodox WB's) yeye ni bora zaidi kwenye kuzuia,

Mpira unabadilika na tunaokelekea hii 3 CB's itakuwa ni mfumo wa kuendea, Bundesliga wahafidhina wa 4~3~3 wengi wanaswitch kwenye 3~4~3 na Variations zake (3~4~1~2, 3~4~2~1)
Serie A karibu nusu ya timu ligi nzima zinaenda na mfumo huu, Ligue 1 nao mpaka De Zerbi ndo umekuwa mfumo wake rasmi.

Huu mfumo unahitaji "Zonal Experts" na ukitoa CB's eneo lingine muhimu zaidi kwenye mfumo huu ni WB's (Wingbacks) Ila bado naamini kwa Traditional WB's kwa kuanzia UTD ingepambana kumpata Vanderson ama Raoul Bellanova. Yule Frimpong ile Physicality yake kwa EPL changamoto (aina za Lamptey + Barco) UTD inatakiwa fanya Bullying hayo maeneo kama Dorgu namna anafanya (unavamia). EPL Combo bora kufanya vizuri ni (Physicality + Technicality) Hii ukiongeza na Mentality ambayo Mwalimu ana sehemu yake kubwa pamoja na idara ya Usajili mafanikio ni nje nje.
Mkuu nje ya mada kidogo, vip? Tunaweza kubeba Europe, maana hii itasaidia pia kuvutia wachezaji kwakua msimu ujao tutashiriki uefa.
 
Mkuu nje ya mada kidogo, vip? Tunaweza kubeba Europe, maana hii itasaidia pia kuvutia wachezaji kwakua msimu ujao tutashiriki uefa.

Mkuu EUROPA ni michuano ya mtoano kwa hatua imefika na Michezo ya Hivi huwa inabebwa zaidi na mbinu! UTD Mpaka sasa ni timu ambayo haijafungwa ila pia haijawa bora. Ila kwa kundi lililobaki na UTD inaimarika kiasi Uwezekano wa kuwa Bingwa Upo.

LYON wana ATT nzuri sana asee na moja ya wachezaji UTD inabidi waangalie kwenye nafasi ya L10 ni Rayan Cherki wakikutana atatoa nafasi ya kujiuza kabisa na anapatikana kwa £22m kwa sababu timu yao ina matatizo ya kifedha. UTD wana faida anzia ugenini na kurudi kwa wachezaji wengi toka Majeruhi.

Upande wa Pili wale Frankfurt sio timu ya kuichukulia poa sana!
 
Mkuu EUROPA ni michuano ya mtoano kwa hatua imefika na Michezo ya Hivi huwa inabebwa zaidi na mbinu! UTD Mpaka sasa ni timu ambayo haijafungwa ila pia haijawa bora. Ila kwa kundi lililobaki na UTD inaimarika kiasi Uwezekano wa kuwa Bingwa Upo.

LYON wana ATT nzuri sana asee na moja ya wachezaji UTD inabidi waangalie kwenye nafasi ya L10 ni Rayan Cherki wakikutana atatoa nafasi ya kujiuza kabisa na anapatikana kwa £22m kwa sababu timu yao ina matatizo ya kifedha. UTD wana faida anzia ugenini na kurudi kwa wachezaji wengi toka Majeruhi.

Upande wa Pili wale Frankfurt sio timu ya kuichukulia poa sana!
Nimekupata mkuu, kiukweli bado kuna challenge kubwa kwenye kubeba EUROPA
 
Babu kama babu
 

Attachments

  • Screenshot_20250319-065642.jpg
    Screenshot_20250319-065642.jpg
    271.5 KB · Views: 16
Na ndiyo eneo limemfukuzisha kazi usajili wa Mason Mount haukuwa na maana yoyote ni bora Ten Hag angetumia pesa hiyo kumsajili Morgan Gibs White au Jacob Ramsey.
Ni wachezaji wakiingereza ambao wangekuwa na uwezo wa kuipandisha timu.
Nawaza sana mount amesajiliwa kwa kigezo kipi? Anastahili kufukuzwa
 
Back
Top Bottom