fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,380
- 9,764
Naweza nisimlaumu sana 10Hag kwenye hili bali uongozi wa juu walimleta kulenga biashara zaidi, kisa mjukuu wa malkia
Usajili wa hovyo sana kuliko sajili zote alizofanya Ten Hag