Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sema huyu refa wa leo akipigwa vizuri atasema tu kabatini kwake ana jezi ngapi za Utd, kwani FA hawawezi kumpa ajira huyu jamaa naona anatufaa sana kwenye Epl.
Halafu kuna ile takataka pale mbele inatukaba wenyewe, Amorin asipoifanyia maamuzi magumu kwenye dirisha kubwa nina uhakika ndio itakayo mfukuzisha.
 
Kwa macho yaliyo jaa THE KICK mbona kama sioni timu ya kuizuia man u kufika fainali hapa?
Screenshot_20250314-011700.png
1713782188650.jpg
 
Back
Top Bottom