Anang'aa nini sasa?Antoninho anang'aa tu huko. Kweli hii timu ina laana!
View attachment 3223034
View attachment 3223036
Oyaaa wakuu onesheni utu basi, wakati mwingine sio busara kumsimanga ndugu yako aliye mahututi baada ya kupata ajali akiwa anaonyesha mbwembwe za kupiga dede.
Ila allypipi miyeyusho sana, kwenye prediction zake hapa JF anaonyesha tunampiga mtu goli 3 halafu kwenye mikeka yake anatuua.


Mechi yake ya kwanza kawa nyota wa mchezo.Anang'aa nini sasa?
Kutolewa dakika ya 72 au
Vipi huko?! 😃
Hapa naona shida sio kocha wala sio wachezaji. Shida ipo kwa recruitment departmentAmkeni tufanye uchambuzi wa mechi ya jana 😂
Umemuona Antony lakini??Hapa naona shida sio kocha wala sio wachezaji. Shida ipo kwa recruitment department
Yupo wapiUmemuona Antony lakini??
Real Betis kashachukua MVP kwenye Game yake ya kwanza....Yupo wapi
Hapo man utd fans ndio wanapagawa kabisaReal Betis kashachukua MVP kwenye Game yake ya kwanza....
unajiuliza shida ya timu yetu ni nini unakosa majibuHapo man utd fans ndio wanapagawa kabisa
unajiuliza shida ya timu yetu ni nini unakosa majibu


Laana ya kumnyima timu Mwarabu na kumpa yule babu wa Kihindi haitatuacha salama.
Akiwemo Sheikh ze-dudu 😂😂😂Laana ya kumnyima timu Mwarabu na kumpa yule babu wa Kihindi haitatuacha salama.
Ukute Sheikh Jassim bin Hamad bin Khalifa Al Thani baada ya kunyimwa team aliwaita mashehe wenzake watusomee Al Baridi. View attachment 3223401
Nimeanza kukuelewa😃Mwarabu apewe timu
Huyo dialo watakuelewa kweli? Wenyewe wanamuita Messi wa kiafrika....na hapo ni kisa kawapiga hattrick wachovu wale wa ligi(Southampton) mpk sahv Wana point 9 cjui 😂Wachezaji ambao kama mpo serious lazima muwauze,
1)Onana
2)Garnacho
3)Hojlund
4)Yoro
5)Martines
6)Maino
7)Zirkee
8)Dialo
Haya ni magarasa muyauze haraka hasa Onana kama mnaweza Onana mumuuze leo leo usiku