Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Antoninho anang'aa tu huko. Kweli hii timu ina laana!
Snapinst.app_475739602_18037285553387192_118846304552515811_n_1080.jpg

Snapinst.app_476212306_18037285562387192_2001732583899278790_n_1080.jpg
 
Oyaaa wakuu onesheni utu basi, wakati mwingine sio busara kumsimanga ndugu yako aliye mahututi baada ya kupata ajali akiwa anaonyesha mbwembwe za kupiga dede.
Ila allypipi miyeyusho sana, kwenye prediction zake hapa JF anaonyesha tunampiga mtu goli 3 halafu kwenye mikeka yake anatuua.
 
Wachezaji ambao kama mpo serious lazima muwauze,
1)Onana
2)Garnacho
3)Hojlund
4)Yoro
5)Martines
6)Maino
7)Zirkee
8)Dialo

Haya ni magarasa muyauze haraka hasa Onana kama mnaweza Onana mumuuze leo leo usiku
Huyo dialo watakuelewa kweli? Wenyewe wanamuita Messi wa kiafrika....na hapo ni kisa kawapiga hattrick wachovu wale wa ligi(Southampton) mpk sahv Wana point 9 cjui 😂
 
Back
Top Bottom