ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,578
- 24,480
Kakamia iyo mechi Hana maajabu
Unadhani kupata mchezaji kama Nwaneri ni sawa na kunnua andazi sioHivi tunashindwa kupata wachezaji kama Nwaneri au Marmoush kweli? Kwenye flanks unamtegemea Gara ambaye akipotezea mali anazurura..hii timu ishakua futuhi sasa
Yaani mashabik wa Arsenal mnajibishana wenyewe kwa wenyewe, mpo sawa kweli?Unadhani kupata mchezaji kama Nwaneri ni sawa na kunnua andazi sio
Boresheni academy yenu kwanza, tumewauzia magarasa mkaanza kuvimba kifua
kwani Amadi hakucheza juzi?View attachment 3226219
anapigwa kama ngoma?Leicester City vipi wakuu?
Nyie jidanganyeni tu😂😂anapigwa kama ngoma?
Hamna time wazeee 😂watapigwa kama mgoma 😁View attachment 3228397
Watoto wahuni hawa, ngoja tuwasubiri kipindi cha pili.Mashamba Makubwa Nalima au nasema uwongo wajameniii 😂
Usikute wachezaji wamebeti kufungwa 😂Watoto wahuni hawa, ngoja tuwasubiri kipindi cha pili.
Wanacheza hovyo sanaHivi Hawa wachezaji wanafanya mazoezi kweli? Je wanalipwa Mshahara? Na je wanafahamu jinsi wanavyocheza?....................?????
Man U ya sasa ikikutana na Timu top 15 inakuwa ni big Matches kwelikweli!!!! Kwanza
1. Wachezaji hawakimbii, nyoronyoro tu.
2. Kona zikipigwa hata thelathini hawawezi kufunga hata goli moja, lakini wao wakipigiwa Mipira ya kona hata miwili inakuwa hatari Kubwa langoni au kufungwa kabisaaa.
3.Timu imekuwa na mentality ya timu ndogo, ikikutana na timu Kubwa Top Four eti wanakaza lakini ikikutana na timu ndogo ni Kipigo tuuuuu.