Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Il
Hata ETH hakuwa mbovu hivi

Amorini kakariri back 3 ,akiwa ligi ya mbuzi ureno sijui kama kawahi kucheza nje ya back 3

Ina maana back 3 isipo work hana option B
A ingekuwa inaleta matunda mngeshangilia 😂😂😂
 
Il
Hata ETH hakuwa mbovu hivi

Amorini kakariri back 3 ,akiwa ligi ya mbuzi ureno sijui kama kawahi kucheza nje ya back 3

Ina maana back 3 isipo work hana option B
A ingekuwa inaleta matunda mngeshangilia 😂😂😂
 
Inapotokea mbungi ya livakuku na manyuu, liva huwaga hanaga huruma kabisa.
Yake majamaa yao hayachoki kufunga!
Kuna Diaz,salah na wale wahuni wengine huwa kama wanawakomoa nyumbu.
 
Back
Top Bottom