Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wachezaji ni wazembe lakini pia huyu kocha anacheza sana kamari kwenye upangaji wa kikosi.

Ndio anatafuta wachezaji wanaofaa ila wasiwasi wangu hii ni EPL, asije akajikuta ameshuka daraja.
 
Kuna watu hawana bahati duniani.

Mfano Pele, alikua akisema timu Fulani inashinda basi ujue inapigwa.
Akisema Timu hii inachukua kombe basi hata makundi haivuki.

Hii bahati mbaya ndiyo anayo alipipi. Mzuieni asiendelee kutabiri matokeo in favour ya united, bora atabiri mnafungwa ili awe kafanya kinyume
Mkija kushtuka mtakua mmechelewa sana
 
Timu hii ikifungwa na kuicheka mnapata dhambi, ni kama vile kumcheka mgumba kupitisha mwaka mwingine bila mtoto, ni dhambi.

Na nyie man u achaneni na hao matapeli, kina HAKIKA REUBEN, njoonj mumchukue anko JUMA MGUNDA nawahakikishia mtacheza conference league 🤣😂..
Jaribuni kina pacome, kapombe, abdulrazaq hamza, fei toto, max nzengeli watawasaidia saana.
 
Bambucha nini kimemkuta
20241231_000219.jpg
 
Unaambiwa jana Joshua anatolewa dakika ya 33 mashabiki wanashangilia wengine wanamzomea Joshua.

Shida siyo hii. Shida ni hawahawa ndiyo walishangilia na walio mitandaoni wakampamba. Tunarudi palepale aliposema Pogba "Mashabiki wa Nyumbu hawajui mpira"
 
Nilisoma kumbe ujinga mtupu
Timu hii ikifungwa na kuicheka mnapata dhambi, ni kama vile kumcheka mgumba kupitisha mwaka mwingine bila mtoto, ni dhambi.

Na nyie man u achaneni na hao matapeli, kina HAKIKA REUBEN, njoonj mumchukue anko JUMA MGUNDA nawahakikishia mtacheza conference league 🤣😂..
Jaribuni kina pacome, kapombe, abdulrazaq hamza, fei toto, max nzengeli watawasaidia saana.
 
Back
Top Bottom