Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inapotokea mbungi ya livakuku na manyuu, liva huwaga hanaga huruma kabisa.
Yake majamaa yao hayachoki kufunga!
Kuna Diaz,salah na wale wahuni wengine huwa kama wanawakomoa nyumbu.
Wewe unaangaliaga mpira kweli. Mechi yao ya mwisho ilikuwaje?
 
Screenshot_2025-01-01-07-42-37-505_com.twitter.android.jpg
 
Hivi hili saga la Dani Olmo limekaaje pale Barca?
Kama kuna uwezekano tuangalie namna hata ya kumuazima ili amsaidie Bruno maana jamaa namkubali sana sijui kwanini alidumu sana pale Leipzig na form yake ile.
 
Back
Top Bottom