Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamaa kaandika hivi

View attachment 3187247

Hojlund akamfuata mshkaji inbox. Akamuandikia hivi


View attachment 3187248
Piga spana piga spana

20241228_221002.jpg
 
Binafsi nahitaji tushuke daraja wale glazers waiachie timu mazima
 
Daahhh mwaka tunaumaliza na Newcastle, halafu mwaka mpya tunauanza na Liverpool.

Kasongo yeeyeeee
Mumbali nangaaa
Kasongo mbona wewooo
Songa libalaaa
Oooh ye ye ye yeeee
Kasongo mbona wewo
Mbona weooohhh
 
Watoto wa bwenyenye lenye mihela yake mjini Sir Jim barobaro boys wanashuka kwenda kuwashiiiika.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Man united 3 vs Newcastle 1

Tutapiga kama ngoma.View attachment 3188850
"Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.
 
"Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.
We jamaa hujui mpira.

Huo mfumo hauna winga.

Kuna wing-back na 2 no 10.
 
Back
Top Bottom