Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

l😁
IMG_20241230_070704_642-1.jpg
 
Watoto wa bwenyenye lenye mihela yake mjini Sir Jim barobaro boys wanashuka kwenda kuwashiiiika.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Man united 3 vs Newcastle 1

Tutapiga kama ngoma.View attachment 3188850
"Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.
 
"Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.
We jamaa hujui mpira.

Huo mfumo hauna winga.

Kuna wing-back na 2 no 10.
 
We jamaa hujui mpira.

Huo mfumo hauna winga.

Kuna wing-back na 2 no 10.
Kwa hiyo ndio unamletea huo mfumo Newcastle? Leo 5 tunagongwa. Kwa jinsi Zirkzee alivyochemka mechi 2 zilizopita na Anthony alivyofanya vizuri mechi iliyopita, kwa njia yoyote angetafuta mfumo unaomfanya Anthony awepo na Zirkzee asiwepo.
 
Back
Top Bottom