BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,193
- 2,543
Piga spana piga spanaJamaa kaandika hivi
View attachment 3187247
Hojlund akamfuata mshkaji inbox. Akamuandikia hivi
View attachment 3187248
Piga spana piga spanaJamaa kaandika hivi
View attachment 3187247
Hojlund akamfuata mshkaji inbox. Akamuandikia hivi
View attachment 3187248
Kwani bado wapo si timu imenunuliwa na tajiri mwembamba jimmy ratcliffe 😂😂..au bado wapo na mkono wao?Binafsi nahitaji tushuke daraja wale glazers waiachie timu mazima
Wapo wameuza hisa na sio timu nzima....nuksi tu Toka wainunue timu mpaka leoKwani bado wapo si timu imenunuliwa na tajiri mwembamba jimmy ratcliffe 😂😂..au bado wapo na mkono wao?
Nyumbu nyumbu akili zenu huwa mnaziacha wapi?Leo Newcastle anakula 2. Mwaka tutaumaliza vizuri tu. GGMU
Wewe amini leo Newcastle anakufa. Utanambia usiku tu.Nyumbu nyumbu akili zenu huwa mnaziacha wapi?
Squad ya Newcastle kwa wachezaji wa nyumbu hakuna anaepata namba starting 11
Mara ya mwisho kubeba marefa walikuwa wanavaa suti nyeupeShabiki wa aseno unaitukana united inashangaza maana kama ni ubingwa epl sikumbuki aseno mara ya mwisho kubeba ni lini
Leo mie mwenyewe nabet nikimuua Man Utd, furaha nikose na pesa pia nikose!Linakufa tena jitu leo.
Isak, gordon, guimares leo mtawataja majina yao ya utotoniWewe amini leo Newcastle anakufa. Utanambia usiku tu.
"Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.Watoto wa bwenyenye lenye mihela yake mjini Sir Jim barobaro boys wanashuka kwenda kuwashiiiika.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man united 3 vs Newcastle 1
Tutapiga kama ngoma.View attachment 3188850
We jamaa hujui mpira."Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.
Mechi ya juzi muda wote nilikua nimekasirika