Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,874
- 233,408
Subiri utaona wenye kombe letu tunavyowaua hawa nyumbuWatawaharibia nakuisafishia njia Nottingham forest.
Mtachagua mzike au msafirishe
Subiri utaona wenye kombe letu tunavyowaua hawa nyumbuWatawaharibia nakuisafishia njia Nottingham forest.
Yule alianzaga kusema mapema kabisa ,sijui yupo wapiYule jamaa aliekuwa anasema kipara ni jasusi huenda anajua mengi yaliopo nyuma.
View attachment 3188930
Chelsea tumelambwa kimoja ila tunakirudisha hiki na ushindi juu, amini maneno yangu mana Mm sio mhuni kama mashabiki wa nyumbu


Mabaga Junior Chelkenge mmepata ushindi wa goli ngapi mkuu?Unatuchukuliaje Ken Gold yetu wana Chunya?***** naye Chelsea huko chali.
Vidude viwili kama sisi tu. Na bora sisi tumepigwa na mkubwa mwenzetu, Chelsea kapigwa na Ken Gold ya uingereza.
Hizi timu zote zifanye tour kwa Pastor Sunguye
🤣🤣🤣Eti mabaga junior,nimecheka Hadi nimepaliwaMabaga Junior Chelkenge mmepata ushindi wa goli ngapi mkuu?
😂😂😂😂Mabaga Junior Chelkenge mmepata ushindi wa goli ngapi mkuu?
Atakuwa kama villa msimu wa janaEpl kwa ma surprise inaongoza naona Nottingham Forest kakaza matako kweli kweli anataka aende Uefa
😂😂😂Kocha anachuchumaa mara nyingi kuliko mechi alizoshinda 🤣🤣🤣