BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,191
- 2,540
Hii game Anthony ilikuwa inamuhusu mapema sana. Angeongeza kitu uwanjaniDk 87
Arsenal 2
Mqn utd 0
Hii game Anthony ilikuwa inamuhusu mapema sana. Angeongeza kitu uwanjaniDk 87
Arsenal 2
Mqn utd 0
Hili ni lijinga. Kumbe mishabiki mijinga Kama hii bado ipo😬Mtamkumbuka kipara mazwazwa nyie.
Zile 8 za kipindi kile bado zinakuumaPunda wewe
Nyumbu ni Nyumbu tuSubiri kikishawaramba tunawaomba msilikimbie jukwaa lenu, leo ni siku yetu ya kupunguza gape la points3 dhidi ya Arsenyau.
Duh.Zile 8 za kipindi kile bado zinakuuma
Nisaidienì kwa nini ikawa kipa hakai sawa, na wachezaji wa man utd hawana habari na wale wanaojitenga mbele ya kona??When Arsenal get a corner, it is almost like a penalty
Nisamehewe mganga, lamri imeenda sivyo.Punda wewe
Kufungwa na timu iliyokuzidi najua haiwaumiAya mmeshashinda ubingwa wenu wa kumfunga Manchester
Tukutane FA hatuwezi fungwa mara mbili
😃😃 tukutane FAKufungwa na timu iliyokuzidi najua haiwaumi
Tunawatoa FA hilo nina uhakika naloMuhindi alipowapa odds 10+ mlimuona mjinga au sio