Nyumbu lazima mchangie points 6, labda mtufunge kwenye FA lakini sio leobado hamjasema, leo mtaliwa kimasihara na hamtaani mmeliwaje kiulaini namna hio.
Maghalaes leo hayupo tunawaachieni tu mpige kona idadi mnazozitaka.
Game ikoje wakuu?..huku niliko baridi, siwezi enda kibanda umizaMalacia out