Mimi Nyumbu lia lia, ila wametukosea sana kumuondoa kipara wetu na kutuletea huyu mhindi.Sidhani kama inakuhusu hii kama ww si fan wa hii timu, wewe unashabikia timu gani?
J5 tunawala tunda kimasihara hawaInashangaza sana, afu kwa midomo hawatoki kwenye page ya arsenal
Sijajua kwa nini hii mikocha ya Man U inakuwa na kiburi kiasi hiki. Ubora wa Hujlund hasa mechi ya mwisho ni wa kumuanzishia benchi? Jinga kabisa nalo hili najua limekuja na litaondoka kabla ya Mwaka mpya..
Nyama ziko chini.Sijajua kwa nini hii mikocha ya Man U inakuwa na kiburi kiasi hiki. Ubora wa Hujlund hasa mechi ya mwisho ni wa kumuanzishia benchi? Jinga kabisa nalo hili najua limekuja na litaondoka kabla ya Mwaka mpya..
Amad ni nomaKuna wachenzi walitaka kuvuta hela kwa Amad..
Wachenzi kabisa.
MOT kwa upande wangu
Garnacho na rashid ni wabinafsi sanaTen Hag maku kweli. Amad bonge la team player, mngese kama Garnacho akifika golini ni kujipigia tu hata kama kuna teammate yupo nafasi nzuri ya kufunga hatoi pasi.
Fvck you, Erik ten Hag.