Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot 2024-10-28 at 07.36.39.png
 
Wazeee wazeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnashuka daraja safari hii
Reporter; La professor 7+3hag wachezaji gani uliwahitaji, hawakuletea?

7+3hag; "haaland, lewandosk, mbape, Vini jr, yamal, Saka, musiala, Rodrigo, Raphinha, saliba, valverd, camavinga"

Reporter: [emoji23][emoji23]
 
Dah Wamemla kichwa Jasusi letu !!! ila mchango wake tumeuona kama angebaki miezi miwili tu zaidi... Azam wangeanza kuangalia ni kwa namna gani wanaweza wakapata haki miliki ya kuonyesha Ligi Daraja la kwanza la Uingereza(Championship).
 
Back
Top Bottom