John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Nyumbu kama nyumbu...kocha wenu lazima
atakuja na sababu kwakuwa tumefungwa goli chache 2 unaona dhahiri jinsi gani tulivyowagumu defensively
Man u watuongezee hata kumi mason bonge la mchezaji ujueHivi Mount Mason bado yupo Man Utd? Kumbukeni mechi ijayo mnacheza dhidi ya Col Palmer.
Ila we jamaa 😅😅Duh, Baada ya kuangalia El-Clasico ya jana na ubora wa wachezaji wa timu zote mbili, nimeangalia hiki kikosi nikajisemea 'mwaka huu hatutoboi popote' katimu ka hovyo sana haka.