Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyumbu kama nyumbu...kocha wenu lazima
1000286917.jpg
atakuja na sababu kwakuwa tumefungwa goli chache 2 unaona dhahiri jinsi gani tulivyowagumu defensively
 
Mwanitesa futiboli kilabu mna hali mbaya mno , mwaka huu msipo shuka daraja sijui
 
Hivi Mount Mason bado yupo Man Utd? Kumbukeni mechi ijayo mnacheza dhidi ya Col Palmer.
 
Duh, Baada ya kuangalia El-Clasico ya jana na ubora wa wachezaji wa timu zote mbili, nimeangalia hiki kikosi nikajisemea 'mwaka huu hatutoboi popote' katimu ka hovyo sana haka.
Ila we jamaa 😅😅
 
Hamna rebuild ya misimu mitatu ni utapeli tu.
Sasa tutamfunga nani kweli? Kila mechi chuma
 
Mpaka ifike December tushapigika sana yani ni muda wa kuondoa hisia na hii timu hamna sababu ya kupata ugonjwa wa moyo kijana mdogo.
 
Back
Top Bottom