Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii team kunahitajika overhaul, kocha na dead woods wote. Else wataendelea na poor performance muda wote
 
Naona WAN-BISSAKA katufunza mpira. Hakuna ujinga aliofanya huyu kocha kama kumuuza Bisaka na McTominay.
Na bado manyumbu nyie,kazi kubwabwaja midomo tu kwenye majukwaa ya watu lakini kushinda aahh,mnatepeta mpaka makalio
 
Nafasi ya 14
IMG_4079.jpeg
 
Mwanitesa futiboli kilabu mna hali mbaya mno , mwaka huu msipo shuka daraja sijui
 
Back
Top Bottom