Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,005
- 51,510
Hii team kunahitajika overhaul, kocha na dead woods wote. Else wataendelea na poor performance muda wote
Nyumbu mmeshakojolewa basi weekend yangu imeisha vema kabisa,wajaa laana nyieHujielewi
Ligi ipi?Rasmi tumeanza ligi sasa.
Katika watu sikupenda auzwe mmoja ni McTominay.Naona WAN-BISSAKA katufunza mpira. Hakuna ujinga aliofanya huyu kocha kama kumuuza Bisaka na McTominay.
Na bado manyumbu nyie,kazi kubwabwaja midomo tu kwenye majukwaa ya watu lakini kushinda aahh,mnatepeta mpaka makalioNaona WAN-BISSAKA katufunza mpira. Hakuna ujinga aliofanya huyu kocha kama kumuuza Bisaka na McTominay.
Sawasawq.umeona matokeo ya leo!!Hujielewi
Dah ila mwanetu 😅Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim kimeshuka kwenda kuangamiza wale hammers.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
West ham 1 vs Manchester United 4View attachment 3136458