Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe kenge ,huyu anacheza kila mechi

Unataka kusema umesusa kabisa kufatilia boli siku hizi

ETH aongezewe muda
Masingeli siku hizi haungalii mpira?
Hebu nitajie mechi moja tu uliyomuona Jesus akicheza baada ya kufanyiwa hili tukio la kidhalilishaji.
 
Baada ya mapumziko ya wiki mbili Barobaro boys vijana hawa wa bwenyenye Sir Jim wamekuja tena kuwaramba😆

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁

My prediction

Man united 3 Vs Brentford 1

Watapigwa sana wale.
20241019_145030.jpg
 
Martinez CB, Martinez CB

Punda nyinyi na leo mnapigwa ngumi 21
 
Leo nimeendelea kugundua katika hii timu kila idara imekufa. De Ligt anarudishwa nje kufutwa damu mara tatu na bado madaktari hawaoni kuna umuhimu wa kumfunga kitu kichwani.

Hahaha, kweli timu yetu imeoza!
 
Masingeli siku hizi haungalii mpira?
Hebu nitajie mechi moja tu uliyomuona Jesus akicheza baada ya kufanyiwa hili tukio la kidhalilishaji.
Last mechi mbona kacheza ,wewe ndio huangalii mechi
 
Naona mna goal difference ya 53 dah! Man u mnafunga magoli.
 
Back
Top Bottom