Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 12,923
- 32,331
Mwamposa kasema ufungue Tena Uzi mwingine uwajaze chuki malofa Kama unavyotuchukia United fans.Mashetani mekundu Manchelesta aka manure. Kmamae zenu.
Mwamposa kasema ufungue Tena Uzi mwingine uwajaze chuki malofa Kama unavyotuchukia United fans.Mashetani mekundu Manchelesta aka manure. Kmamae zenu.
Havihusiani mkuu. Mwa.mposa ni tapeli kuliko kibongo ya wachawi.Mwamposa kasema ufungue Tena Uzi mwingine uwajaze chuki malofa Kama unavyotuchukia United fans.
Una ushahidi usio shaka juu ya huo unaouita utapeli Mr.Paul ?Havihusiani mkuu. Mwa.mposa ni tapeli kuliko kibongo ya wachawi.
We jamaa ndo maana manyuu fans walifurahi sana ulipopotea huku chimboni!!
Antony masebeneINEOS wafanye yote, wajenge na uwanja ila tu wasimguse A Dutch David Moyes ETH
Tutapata wapi sajili kama hizi kutoka udachi kama akiondoka ETH?
View attachment 3125669
Huyu jamaa yetu tokea kufanyiwa hili tukio la kikatili nasikia hajarudi tena uwanjani, bado anauguza majeraha yake.INEOS wafanye yote, wajenge na uwanja ila tu wasimguse A Dutch David Moyes ETH
Tutapata wapi sajili kama hizi kutoka udachi kama akiondoka ETH?
View attachment 3125669
Wewe kenge ,huyu anacheza kila mechiHuyu jamaa yetu tokea kufanyiwa hili tukio la kikatili nasikia hajarudi tena uwanjani, bado anauguza majeraha yake.
Kila nikikumbuka kuna Masingile wa mwanzo wa msimu ambae kazi yake kuropoka hovyo, halafu kuna Masingeli wa mwisho wa msimu ambae hua anajipiga Ban mwenyewe mechi 5 za mwisho kabla ya ligi kufikia tamati hua nabaki nacheka tu. View attachment 3128752
Wewe kenge ,huyu anacheza kila mechi
Unataka kusema umesusa kabisa kufatilia boli siku hizi
ETH aongezewe muda![]()


Masingeli siku hizi haungalii mpira?