Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,865
- 16,391
Wewe kenge ,huyu anacheza kila mechi
Unataka kusema umesusa kabisa kufatilia boli siku hizi
ETH aongezewe muda![]()


Masingeli siku hizi haungalii mpira? Hebu nitajie mechi moja tu uliyomuona Jesus akicheza baada ya kufanyiwa hili tukio la kidhalilishaji.
