Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baada ya ups and downs na Pogba jamaa akarudi Juve halafu akasema duniani mashabiki wasiojua mpira ni wa united. Akafungiwa kujihusisha na mpira kwa miaka 4.

Jana wamepunguza hadi miezi 18 na kuanzia January mwakani ataweza kutrain na Juve na March akaanza kucheza ligi.

Otea mashabiki wa timu gani wanamtaka Pogba kwenye timu yao? 🤣🤣😅🤣😅🤣😅

Wanakwambia huyu na Maino wakikaa pamoja pale kati hakuna anayekatiza. Hua sielewi hawa watu wanatumia nini kufikiri, kwanza Pogba siyo mkabaji pili jinsi alivyoondoka ila hawasikii hawaoni 😅🤣😅🤣

Huku kocha anasema amenunua wachezaji vijana wengi hivyo inabidi wazoeane. Huyu kanunua wachezaji wengi kuliko chelsea ???🤣
 
Hasira zako ni nini kwa hawa jamaa? Au ni zile 8-2?
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim wanashuka leo hawa hapa twende nalo💪

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Villa 1 Vs Manchester united 3

Watapigwa sana wale.

Nikisepa watapigwa mnaitikia

Sana waleeee😲
 
Kwa backline hiyo naona Watkins leo anaenda kupiga hat trick
 
Imebidi nije nimekumbuka vituko vyako

Leo mshinde nipo na nyie

ETH mitano tena
 
Erik anaenda na upepo.

Mchezaji anayemuokoa kibarua mechi inayofuata lazima apangwe 😅😅

Villa wameingia na low block. Wa kuifumua low block kwa nyumbu naona ni yule Amad, Garnacho watu wakishachoka miguu na Eriksen. Yule mlalamishi anazijaribu trivela huu mwaka wa saba hakuna inayozaa matunda sioni anawaokoaje na hilo haram football.

Hata hivyo Villa akiona mmezubaa hashindwi kuanza kumiliki yeye mpira.

Mpaka sasa Villa kafungwa na Arsenal tu. Mkikomaa mtakua wa pili
 
Huyu kocha leo kibarua kinaweza kuota nyasi sitegemei akichomoka kwa hiki kikosi
 
Nimesoma hii comment BBC, huyu mwandishi ni mtukanaji mzuri:
"The biggest indictment to Ten Hags tenure, is after the hundreds of millions of pounds spent on talent, 36-year-old Jonny Evans, who played under Sir Alex, looks his best player!".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…