Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Siku ingine Tena ya presha za dakika 90
Acha maskhalaAnthony anaweza kucheza mbele ya Amad, garnacho ? Achilia mbali rashford ? Hawezi hata kupiga chenga kuwatoka wachezaji wawili ? Huyu level yake ni mid table team
Hizo goli 2 zenyewe zimepatikana kibahati bahati tu, tena magoli yote 2 yametokana na mipira ya kona.Mnaongoza 2, ila mnakatika Sana
Nawatakieni mchezo mwema
Labda kuna mtu anawachezesha kama playstation 2Wachezaji wazito balaa au sabb ya jua
Zirkizee bora ya Rashford mara mia
Hizo goli 2 zenyewe zimepatikana kibahati bahati tu, tena magoli yote 2 yametokana na mipira ya kona.
Yaani dakika 35 za mwanzo kabla ya hizo goli kupatikana timu inasikitisha, wachezaji hawafikishi pasi 5 wameshapoteza mpira, muda wote zinapigwa back passes tu timu haiwezi kusogea hata katikati ya uwanja. kwa mtu asiejua mpira ukimuonyesha hii mechi ya leo anaweza kujua hao Southampton ndio Man Utd yenyewe. View attachment 3095680
Timu bado sana wachezaji kama wamebeba matofali striker hamnaHizo goli 3 na point 3 zitatoa hamasi na kujiamini. Congrats MUFC.
Kuna Nuno Espirito pale sio wa mchezo mchezoHawa vijana wa msituni (forest ni noma sana), wamenyonga jogoo bandani mwake.