Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani ndio tumemuweka benchi MAGUIRE kwa hii takataka dI LIGT!!!!

Yaani ndio tumemuuza WAN "Spider' BISSAKA kwa ajili ya takataka Mazraoui!!

Kocha jinga sana hili.
 
Dalot tunalazimisha tu kumweka namba 3, huu upande hauwezi ,,,, huyu namba yake ni 2 ,,,, ! De light maguire wale wale
 
AMAD anajua mpira...anajua, anajua na anajua tena. AMAD ni MESSI.
 
Screenshot_20240914-153226_Chrome.jpg
 
Mnaongoza 2, ila mnakatika Sana

Nawatakieni mchezo mwema
Hizo goli 2 zenyewe zimepatikana kibahati bahati tu, tena magoli yote 2 yametokana na mipira ya kona.
Yaani dakika 35 za mwanzo kabla ya hizo goli kupatikana timu inasikitisha, wachezaji hawafikishi pasi 5 wameshapoteza mpira, muda wote zinapigwa back passes tu timu haiwezi kusogea hata katikati ya uwanja. kwa mtu asiejua mpira ukimuonyesha hii mechi ya leo anaweza kujua hao Southampton ndio Man Utd yenyewe.
Screenshot_20240914-145841.jpg
 
3pts,,,,

Muhimu sana ° !

Still Tuna kazi ya kufanya timu haichezi vizuri !

Muarabu, de light, licha majeruhi duh !!!!!!

Casemiro kasaidia kupatikana goal la 3, wacha apate confidence, last match aliharibu mno na alisemwa sana !

Urgate ni mchezaji mzuri ngoja azoeane na timu na momentum iwe juu atupatie kilicho Bora !
 
Hizo goli 2 zenyewe zimepatikana kibahati bahati tu, tena magoli yote 2 yametokana na mipira ya kona.
Yaani dakika 35 za mwanzo kabla ya hizo goli kupatikana timu inasikitisha, wachezaji hawafikishi pasi 5 wameshapoteza mpira, muda wote zinapigwa back passes tu timu haiwezi kusogea hata katikati ya uwanja. kwa mtu asiejua mpira ukimuonyesha hii mechi ya leo anaweza kujua hao Southampton ndio Man Utd yenyewe. View attachment 3095680
ajax-wallpapers-ajax.gif
 
Back
Top Bottom