Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

🚨 Winga tishio na hatari zaidi kuwahi kutokea Duniani anaekipiga katika klabu ya Manchester United raia wa Brazil 🇧🇷 Antony Dos Santos amebakiza mabao 857 kufikia rekodi ya gwiji wa soka duniani Cristiano Ronaldo ya kufunga mabao 900.


IMG-20240907-WA0376.jpg
 
we

we bado hujaama timu tulia dawa iingie ....hakuna kitu kigumu kama kuhama timu moyo uliyo chagua hapo akili inakuambia ushahamia Liverpool ila roho bado ipo unyumbuni na hili jambo lipo kwa man utd fans haupo peke yako

utakuta tu wapo wana shabikia na mpaka kuwa na jezi za timu nyingine mfano city arsenal Chelsea lakini kipimo cha kuwa bado timu ipo rohoni inapozidi kufanya vibaya una umia mno ilihali upo timu nyingine na pia inapofanya vizuri unajikuta unatembea kifua mbele hata kugombana na mtu anaye taka kuchukulia poa progress ya timu
Baki mwenyewe huko kwenye Hilo timu la manyumbu Mimi nimeshahama usinifananishe na wengine Mimi nipo kivyangu au umechanganyikiwamjomba Mimi nikifanya kitu namaanisha Hilo timu Mimi sitorudi milele sababu sio baba yangu Wala mama yangu
 
Kwenye goli la pili Casemiro anapoteza mpira, anadondoka, ila nyuma yake kuna wachezaji 5 wa nyumbu. Liva inaingia kwenye boksi ikiwa na wachezaje 3 dhidi ya 5 wa nyumbu

Wanashindwa kuzuia linafungwa goli.

Shabiki anamlaumu Casemiro.

Sikumbuki mara ya mwisho ni lini kuanzia 2021 Arsenal kafungwa goli la ndani ya box huku ana wachezaji 5 kwenye boksi na siyo kona wala faulo. Na siyo Arsenal pekee, timu nyingi huwezi kuzifunga ikiwa ni 3 against 5

Erik kichwa ngumu siyo kocha.
walishaambiwaga na hamis ila wakaona mchizi anawaonea wivu
ona sasa jinsi wanavyodhalilika
kuna kipindi walishaanza kumfananisha kobe wao na
chezaji letu flani hivii
 
Hii tabia ya mchezaji kutaka kuuzwa alafu ana goma imeanza lini maana imetokea kwa Maguire na sasa Antony
 
ajax-wallpapers-ajax (1).gif

1) Kesho iyo: urgate hana match fitness hivyo ataanzia benchi
2) tunapambana kumaliza top four (maana timu ya kushindania title hatuna)
3) the boys gave it all, we will come back stronger than ever
4) wakitaka wanifukuze ntaenda kushinda makombe kwingineko

Mnipe misimu mitatu niwajengee timu yenye ushindani
 
🚨 Winga tishio na hatari zaidi kuwahi kutokea Duniani anaekipiga katika klabu ya Manchester United raia wa Brazil 🇧🇷 Antony Dos Santos amebakiza mabao 857 kufikia rekodi ya gwiji wa soka duniani Cristiano Ronaldo ya kufunga mabao 900.


View attachment 3090217
Sijui kwanini hapangwi 10 hag anafeli wapi? Game ya liverpool huyu jamaa ange shine au majeraha yanamwandama?
 
Antony ana changamoto gani?
Anthony anaweza kucheza mbele ya Amad, garnacho ? Achilia mbali rashford ? Hawezi hata kupiga chenga kuwatoka wachezaji wawili ? Huyu level yake ni mid table team
 
Back
Top Bottom