Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,489
- 35,640
🚨 Winga tishio na hatari zaidi kuwahi kutokea Duniani anaekipiga katika klabu ya Manchester United raia wa Brazil 🇧🇷 Antony Dos Santos amebakiza mabao 857 kufikia rekodi ya gwiji wa soka duniani Cristiano Ronaldo ya kufunga mabao 900.