the palace
JF-Expert Member
- Jan 11, 2018
- 365
- 1,080
Epl mtu yoyote anakufunga,,,,,hata aliyepo mkiani, kila match ni final ,,,, !
Duuh jana kapata MOTM?Ndo kwanza anaanza huyu
View attachment 3096128
Man u ya kuanzia 2014 mpaka mwaka wa huu 2024 imepoteza dira so unahitaji kocha wakurusha angalau big 4 kwa uhakika baada ya hapo ndio muwaze kuchukua ubingwaDuuh jana kapata MOTM?
Hapo Man U shida tulishasema ni kocha hana viwango vya Man u.
Hatuwazi ubingwa, tinawaza hata timu kucheza vizuri. huyu mwaka wa 3 huu kashindwa hata hicho kitu.Man u ya kuanzia 2014 mpaka mwaka wa huu 2024 imepoteza dira so unahitaji kocha wakurusha angalau big 4 kwa uhakika baada ya hapo ndio muwaze kuchukua ubingwa
Dah 😅😅ONANA kaondoa penalt..lakini yapaswa tufungwe ili kocha huyu mjinga aondoke.
Mechi 1 tu kila mchezaji ushajua kaisha na mwingine hajaisha 😅😅Joshua na yule Marzouk WAPEWE NAFASI WANAELEWANA SANA pale mbele Rashidi bado sana hajakaa sawa Hojlund anarudi soon Garnacho yupo,Ugarte NINI KINAPELEKEA KUSHINDWA ?? LIMZEE MAGUIRE LIMEJIPATA UPYA,Licha ataumia soon au Redcard beki zinabaki Nyeupe DALOT kama unamchukia atakufanya umpende haongelewi ila anakituma mnoo...Ericksen walisema kaisha Juzi kakiwasha vibaya mno Hii timu Sijui Kwanini inafungwa ovyo
Ni kwasababu pia wanashinda but hawana furahqSiku hizi mmekua humble mnashinda na mnaongea ukweli hamuanzi kuzunguka majukwaa ya watu kurusha matokeo 😅😅😂
Zamani ungesikia "We are back" 😂😂Ni kwasababu pia wanashinda but hawana furahq
Wameshajifunza tayari yaani wanaweza kushinda hata goal 5 kwenye mechi moja inafuata wanafungwa kwa style hiyo confidence yakusema We are back wataitolea wapi?Zamani ungesikia "We are back" 😂😂
Zamani ungesikia "We are back"![]()



Ungesikia ndo tunaanza ligi rasmi sasa