Zamani ungesikia "We are back"![]()



Ungesikia ndo tunaanza ligi rasmi sasa
Tunacheza EUROPA lakini bado unatutamani.Sisi kama mashabiki wa Barca tunawatamani sana 😂 😂
Ni Kocha wa hovyo sana...yule alisema ni jasusi la uholanzi hakukosea. Haiwezekani kila usajili wake ni Mholanzi au awe amepitia Ajax.Niliombea EtH abakishwe sio sababu namuelewa sana ila kwa kuwa replacement yake ingetuchukua muda mrefu zaidi kumtimua tofauti na yeye ni wa kuhesabiwa mechi tu, Boom!!!
Watufuate Uropa!Tunacheza EUROPA lakini bado unatutamani.
Hii timu haikauki midomoni mwa watu kama YESU