Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa, sasa tunamsubri INEOS hao ndio maboss sio wewe.
Ana makombe ambayo sio kivuli chake lakini inahitaji tathimini nzuri kabla ya kumfukuza.
Swali: arteta akimaliza trophless msimu huu wewe unapendekeza Nini?? Abaki au afukuzwe?
Kwa Uingereza Erik ana makombe gani?

Arteta ana makombe gani?

Sioni kama Arsenal tunatakiwa kuja kumshika shati Arteta kisa makombe. He is beaten by Pep, money and arm twisting tactics
 
Kwa Uingereza Erik ana makombe gani?

Arteta ana makombe gani?

Sioni kama Arsenal tunatakiwa kuja kumshika shati Arteta kisa makombe. He is beaten by Pep, money and arm twisting tactics
Mna visingizio sana linapokuja suala la kumtetea Arteta. Wakisema uweke wazi ushahidi wa haya madai yako nina imani utaishia matamshi ya kukisia tu.
Kidogo nilianza kukuunga mkono uliposema ameshindwa na Pep (kwa kigezo cha ubora) ila ulivyochomekea suala la pesa (utadhani ninyi mnasajili bure) na match fixing nikajua unaongelea ushabiki zaidi.

Ifike mahali tukubali kwa umoja wetu kuwa Pep ameset standard kubwa ya alama ili uweze kuwa bingwa wa EPL. Kwa alama zenu za misimu miwili iliyopita bila uwepo wake, Arsenal mngalikuwa back to back champions ila ndio hivyo jamaa anatunyanyasa collectively.

Hadi sasa bado hakuna kocha EPL wa kumchallenge Pep convincingly, tunabahatisha tu, Ngoja tumpe Slot muda ila sio arteta wenu wala Ten hag wetu.
 
Mna visingizio sana linapokuja suala la kumtetea Arteta. Wakisema uweke wazi ushahidi wa haya madai yako nina imani utaishia matamshi ya kukisia tu.
Kidogo nilianza kukuunga mkono uliposema ameshindwa na Pep (kwa kigezo cha ubora) ila ulivyochomekea suala la pesa (utadhani ninyi mnasajili bure) na match fixing nikajua unaongelea ushabiki zaidi.

Ifike mahali tukubali kwa umoja wetu kuwa Pep ameset standard kubwa ya alama ili uweze kuwa bingwa wa EPL. Kwa alama zenu za misimu miwili iliyopita bila uwepo wake, Arsenal mngalikuwa back to back champions ila ndio hivyo jamaa anatunyanyasa collectively.

Hadi sasa bado hakuna kocha EPL wa kumchallenge Pep convincingly, tunabahatisha tu, Ngoja tumpe Slot muda ila sio arteta wenu wala Ten hag wetu.
Madrid walimtaka Haaland akatua City. Hakuna anayejua signing bonus ya jamaa, mshahara wa wiki wala performance bonus.

Mimi nimeandika ninachojua kwa kila nilichowahi kusoma. Kama kuna sehemu una taarifa kunizidi ni sawa kwakua taarifa zinatoka sehemu mbalimbali.
 
we
Katika kitu ambacho najuta duniani ni kushabikia timu bovu kama Manchester united tena najuta Sanaa sababu nililipenda kutokana na Broo alikua analipenda na nilikua naenda nae kibandaumizakipindi kile mzee Ferguson anatafuna big g mbele ya messi Sasa Hilo timu baada ya mzee Ferguson kuondoka limeonekana halina mpango mpaka Jana tulivyochezea kichapo na Liverpool nimehama rasmi Mimi ni shabiki wa Liverpool kilichonifanya niipende ni siku ya Jana nimeshuhudia timu langu la zamani bovu likipigiwa mpira na kudharirika tukiwa nyumbani rasmi Mimi nashabikia Liverpool najiandaa kwenda kuchukua jezi zangu zote 3 za Liverpool najua wengi mtaongea ila msinipangie maisha Manchester united imeshajifia na haitofufuka kwenye ulimwengu wa hii dunia
we bado hujaama timu tulia dawa iingie ....hakuna kitu kigumu kama kuhama timu moyo uliyo chagua hapo akili inakuambia ushahamia Liverpool ila roho bado ipo unyumbuni na hili jambo lipo kwa man utd fans haupo peke yako

utakuta tu wapo wana shabikia na mpaka kuwa na jezi za timu nyingine mfano city arsenal Chelsea lakini kipimo cha kuwa bado timu ipo rohoni inapozidi kufanya vibaya una umia mno ilihali upo timu nyingine na pia inapofanya vizuri unajikuta unatembea kifua mbele hata kugombana na mtu anaye taka kuchukulia poa progress ya timu
 
🚨 Winga tishio na hatari zaidi kuwahi kutokea Duniani anaekipiga katika klabu ya Manchester United raia wa Brazil 🇧🇷 Antony Dos Santos amebakiza mabao 857 kufikia rekodi ya gwiji wa soka duniani Cristiano Ronaldo ya kufunga mabao 900.


IMG-20240907-WA0376.jpg
 
we

we bado hujaama timu tulia dawa iingie ....hakuna kitu kigumu kama kuhama timu moyo uliyo chagua hapo akili inakuambia ushahamia Liverpool ila roho bado ipo unyumbuni na hili jambo lipo kwa man utd fans haupo peke yako

utakuta tu wapo wana shabikia na mpaka kuwa na jezi za timu nyingine mfano city arsenal Chelsea lakini kipimo cha kuwa bado timu ipo rohoni inapozidi kufanya vibaya una umia mno ilihali upo timu nyingine na pia inapofanya vizuri unajikuta unatembea kifua mbele hata kugombana na mtu anaye taka kuchukulia poa progress ya timu
Baki mwenyewe huko kwenye Hilo timu la manyumbu Mimi nimeshahama usinifananishe na wengine Mimi nipo kivyangu au umechanganyikiwamjomba Mimi nikifanya kitu namaanisha Hilo timu Mimi sitorudi milele sababu sio baba yangu Wala mama yangu
 
Kwenye goli la pili Casemiro anapoteza mpira, anadondoka, ila nyuma yake kuna wachezaji 5 wa nyumbu. Liva inaingia kwenye boksi ikiwa na wachezaje 3 dhidi ya 5 wa nyumbu

Wanashindwa kuzuia linafungwa goli.

Shabiki anamlaumu Casemiro.

Sikumbuki mara ya mwisho ni lini kuanzia 2021 Arsenal kafungwa goli la ndani ya box huku ana wachezaji 5 kwenye boksi na siyo kona wala faulo. Na siyo Arsenal pekee, timu nyingi huwezi kuzifunga ikiwa ni 3 against 5

Erik kichwa ngumu siyo kocha.
walishaambiwaga na hamis ila wakaona mchizi anawaonea wivu
ona sasa jinsi wanavyodhalilika
kuna kipindi walishaanza kumfananisha kobe wao na
chezaji letu flani hivii
 
Hii tabia ya mchezaji kutaka kuuzwa alafu ana goma imeanza lini maana imetokea kwa Maguire na sasa Antony
 
ajax-wallpapers-ajax (1).gif

1) Kesho iyo: urgate hana match fitness hivyo ataanzia benchi
2) tunapambana kumaliza top four (maana timu ya kushindania title hatuna)
3) the boys gave it all, we will come back stronger than ever
4) wakitaka wanifukuze ntaenda kushinda makombe kwingineko

Mnipe misimu mitatu niwajengee timu yenye ushindani
 
🚨 Winga tishio na hatari zaidi kuwahi kutokea Duniani anaekipiga katika klabu ya Manchester United raia wa Brazil 🇧🇷 Antony Dos Santos amebakiza mabao 857 kufikia rekodi ya gwiji wa soka duniani Cristiano Ronaldo ya kufunga mabao 900.


View attachment 3090217
Sijui kwanini hapangwi 10 hag anafeli wapi? Game ya liverpool huyu jamaa ange shine au majeraha yanamwandama?
 
Back
Top Bottom