Eric Banks
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 179
- 249
Ni website ipi nzuri kustream live matches???
Mainoo atalanta hata kikosi cha pili hana nambaDah nilitoka kuangalia mechi ya Madrid na Atlanta nika enjoy jinsi ya big team inacheza kama big team
sasa naangalia big team hapa inayozidiwa na underdog ni maumivu sijui kuna nn na hii timu japo man utd atashinda ila dah
livesports 808 ipo live mzee ingia Google ChromeNi website ipi nzuri kustream live matches???
Kocha hadi leo ana jaribu mifumo .season nzimakocha anawachezeshaje mount na bruno kwa pamoja tena njee ya nafas zao za ufanisi kamuweka bruno false 9 na mount kama attack midfielder kinachotokea hakuna mtu creative wakuset rhythm ya mashambulizi mbele
toa mount Rudisha bruno chini achezeshe team kama CAM mbele mjaze zirkzee au rashford upande wa rashford weka dogo garnacho na kama anataka mount aendelee ampa majukumu ya 8 bila hivo team ipo shagala bagala tu
Muda mwingine makocha sijui wanawaza ninikocha anawachezeshaje mount na bruno kwa pamoja tena njee ya nafas zao za ufanisi kamuweka bruno false 9 na mount kama attack midfielder kinachotokea hakuna mtu creative wakuset rhythm ya mashambulizi mbele
toa mount Rudisha bruno chini achezeshe team kama CAM mbele mjaze zirkzee au rashford upande wa rashford weka dogo garnacho na kama anataka mount aendelee ampa majukumu ya 8 bila hivo team ipo shagala bagala tu
Pakua App hizi ule maishaNi website ipi nzuri kustream live matches???
Mnaruka ruka tu utafikiri bado mko kwenye pres season....!!Kocha fala sana huyu. Zirkzee kaanza kufanya mazoezi wakati wakina Bruno, Garnacho, Pellistri, Bayindir wanarudi Carrington.
Yani hapo kisingizio chake ni match fitness. Leo ilitakiwa full mkoko De Ligt, Zirkzee ndani ila yeye anaona ni bora kuchezesha watu nje ya nafasi zao ilimradi basi tu. Sasa kweli Rashford ni wa kumuweka Garnacho nje!?
Nazipatia wapi? Playstore au?Pakua App hizi ule maishaView attachment 3072085