Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vichwa Pale Kwa Set_Piece

Yani hili limekuwa Tatizo kubwa sana kwa UTD Miaka ya Karibuni!
Msimu ulopita UTD ina Magoli 9 tu yanayotokana na "Set Pieces" Arsenal anaongoza akiwa na Magoli 20!

Haya mara nyingi ni Mipango na yanaweza amua Mechi ngumu! UTD Miaka ya Nyuma Game inakuwa Ngumu Kona/Faulu Giggs unaona Vidic kaibuka 1 ~ 0 Game over!

Mount na Ericksen ni wapigaji Bora sana wa Mipira ilokufa UTD Changamoto ni wao kuwa na Uhakika wa Namba Jukumu linamwangukia Bruno. Game ya City Andreas Georgson {Mwalimu Mpya wa Set Piece} alikuwa na Mzuka zikitokea Kona na Fouls anasimama, Ila kuna Mabadiliko namna timu inajipanga zuia na Shambulia set Piece, Msimu huu namba ya Magoli kwenye Set Piece itapanda.
 
Yani hili limekuwa Tatizo kubwa sana kwa UTD Miaka ya Karibuni!
Msimu ulopita UTD ina Magoli 9 tu yanayotokana na "Set Pieces" Arsenal anaongoza akiwa na Magoli 20!

Haya mara nyingi ni Mipango na yanaweza amua Mechi ngumu! UTD Miaka ya Nyuma Game inakuwa Ngumu Kona/Faulu Giggs unaona Vidic kaibuka 1 ~ 0 Game over!

Mount na Ericksen ni wapigaji Bora sana wa Mipira ilokufa UTD Changamoto ni wao kuwa na Uhakika wa Namba Jukumu linamwangukia Bruno. Game ya City Andreas Georgson {Mwalimu Mpya wa Set Piece} alikuwa na Mzuka zikitokea Kona na Fouls anasimama, Ila kuna Mabadiliko namna timu inajipanga zuia na Shambulia set Piece, Msimu huu namba ya Magoli kwenye Set Piece itapanda.
Wazee tuongezeni angalau pesa kidogo kwa Mount mashine ya Kazi, acheni ubahili basi
 
Mabingwa wapya wa ligi kuu ya Uingereza tunakwenda kuanza kushusha vipigo mfululu mishale ya saa nne
 
Leo ni Leo msema kesho ni muongo tunaenda kufungua ukurasa wa ngarambe na kandanda safi kabisa kwa msimu wa 2024/2025.

Ni wale wale vijana barobaro wanashuka leo.

Biggest Club is the world is play today and whole world is happy 😁 😁 😁

my prediction

Manchester United 3 vs Against the world 1

Time
4:00 usiku

haters hawata amini leo.



20240812_203931.jpg
 
Bado nusu saa tu mabingwa wapya wa epl waingie uwanjani
Mabingwa gani na kocha mseng kama huyu. Yaani pamoja na ubora wote huu GARNACHO anaanza kusugua benchi na RASHFORD anaanza!!
 
Wachezaji wa kawaida
Mtu kama Mainoo sio wa kutegemea kikosi cha kwanza
Dah nilitoka kuangalia mechi ya Madrid na Atlanta nika enjoy jinsi ya big team inacheza kama big team

sasa naangalia big team hapa inayozidiwa na underdog ni maumivu sijui kuna nn na hii timu japo man utd atashinda ila dah
 
Back
Top Bottom