raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,538
- 35,789
Wachezaji wa kawaidakwa huu mpira nauona ni ule ule wa msimu uliopita tukichez hivi na big 6 kazi ipo ni kama ten hag hanaga tactics au wachezaji ni wakawaida
Mtu kama Mainoo sio wa kutegemea kikosi cha kwanza