El Tiger
Senior Member
- Aug 15, 2018
- 142
- 785
Jang Hyuk!
Mkuu Hizi Biashara Bila Makombe Hamna cha Maana ambacho Mmefanya + Hapa Hujaweka Biashara ya KAI na Mbadala wake PALMER
ARSENAL wengi Mna "HOPE" & "UVUMILIVU" Ila miaka hii kuna U-arrogant Mpo nao
Msimu Huu Mkuu Arsenal ni wa 6 Kwa Arteta!
Msimu Ulopita mmekusanya Point 22 dhidi ya Zile Big 6! Kitu kigumu sana Hiki nyie kukirudia. Ligi ya Msimu huu ni Ngumu sana kwenu sababu ya PRESSURE ya Kuchukua Mataji na Mna kikosi Finyu Mno tofauti na namna mnaboresha.
Project za Kimpira zote Baada ya Miaka 3, Huwa zinafanyiwa Reshuffling! Huu ni Mwaka wa 6 na Arteta ikimaanisha ni Project namba 2! Huu Msimu Hata UTD inaweza toa Suprise


Maaaaan Can't Wait To See De Ligt Light Up The League ,He's Here,And He's Perfect