Ndiyo yenyewe. Ilitokea baada ya penalty ya Garnacho.Hivi ni Mimi nimeona bendera ya Tanzania?
Yoro atacheza na de ligt pale kati...halafu yule muargentina na muarabu mpya mlomnunua watapiga 2 na 3....mna kitu mtafika mbali🤠🤠[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mvinyo ni uleule kwenye chupa ileile, yaani Man Utd kwenye ishu ya kushikilia bomba sijui lini tutakaa sawa kwa hizi beki za kina John Evance na Maguire.
Kushikilia bomba ni tatizo., mpinzani akifosi hata zikiwa zimebaki dakika mbili tu anapata goli[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mvinyo ni uleule kwenye chupa ileile, yaani Man Utd kwenye ishu ya kushikilia bomba sijui lini tutakaa sawa kwa hizi beki za kina John Evance na Maguire.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mnataka tushinde Sinia la Mihogo kwani sie ni Arsenyo?Kwa mbinde Sana wanangu nyumbu[emoji110]
Yule sio mtanzania.Ndiyo yenyewe. Ilitokea baada ya penalty ya Garnacho.
Anaweza kuwa Benjamin Fernandes 🇹🇿
Utanzania siyo rangi.Yule sio mtanzania.
Na hivi Sancho karudi tena timu itegemee mgomo baridi tena kwa baadhi ya wachezajiRashford sio mchezaji wa kumtegemea auzwe tu kama vipi
Naah haitokuwa hivyo, this time akizingua atapigwa tukioNa hivi Sancho karudi tena timu itegemee mgomo baridi tena kwa baadhi ya wachezaji
Watu wanatetea ugali [emoji28] maana siyo kwa mikataba ile. De Gea kutoka €23m kwa mwaka mpaka €3m.
Hivi vijamaa vinakwepa kuuzwa ila msimu huu ndiyo mwisho, United wakubali hasara tu asiongezewe mtu mkataba.