D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,021
PSG have held direct talks with #mufc regarding Jadon Sancho. Talks advanced to the stage of discussing the financials of a potential deal.
Kienda zake WHU atakiwasha pale mpaka tutabaki tunamshangaatunavuna tulichopanda
==========
mufc have no desire to pay Aaron Wan-Bissaka £7 million to leave the club, and West Ham are also in no position to pay such a hefty fee on top of the transfer figure. [C&H]
Unabubujikwa machozi ya furaha😁🥱🥱🥱Haki ya mama Siamini macho yangu kuwa leo tupo tena na wale vijana wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys mpaka machozi yamenitoka.☹️
Manchester united inacheza leo na na dunia nzima ina furaha😁😁😁😁
My prediction
Man city 1 VS Manchester united 3
Venue
Wembley
Watapigwa sana ile kichapo ya nguvu.View attachment 3066064
SHAW - mkataba wake unaishia 2028 kama nipo sahihiYamesha ongezewa mikataba hayana wasiwasi ni kuvuna mapesa tu
LUKE SHAW - mkataba wake unaishia mwaka 2028, huyu unamuondoaje kirahisi.Watu wanatetea ugali 😅 maana siyo kwa mikataba ile. De Gea kutoka €23m kwa mwaka mpaka €3m.
Hivi vijamaa vinakwepa kuuzwa ila msimu huu ndiyo mwisho, United wakubali hasara tu asiongezewe mtu mkataba.


Wakuu msaada unahitajika, misimu yote hua naangalia ligi zote kwa Bein Tv Channels kupitia Yacineapp. UEFA wangese sana!
View attachment 3066079
🚨𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United agree deal with Bayern Munich for Matthijs de Ligt. €45+5m(£39m+£4m), 5+1yr, pending medical
Bayern have separately accepted a proposal of €15m+€5m(£13m+£4m) in bonuses from Manchester United for Noussair Mazraoui.
[David Ornstein]View attachment 3066124
Siyo kweliSHAW - mkataba wake unaishia 2028 kama nipo sahihi
MAGUIRE
LUKE SHAW - mkataba wake unaishia mwaka 2028, huyu unamuondoaje kirahisi.
CASEMIRO - mkataba wake unaishia mwaka 2027, unamuondoaje kirahisi
MAGUIRE - mkataba wake unaishia mwaka 2026, naye unamuondoaje kirahisi
Shaw 2027SHAW - mkataba wake unaishia 2028 kama nipo sahihi
MAGUIRE
LUKE SHAW - mkataba wake unaishia mwaka 2028, huyu unamuondoaje kirahisi.
CASEMIRO - mkataba wake unaishia mwaka 2027, unamuondoaje kirahisi
MAGUIRE - mkataba wake unaishia mwaka 2026, naye unamuondoaje kirahisi
Download, then install.Wakuu msaada unahitajika, misimu yote hua naangalia ligi zote kwa Bein Tv Channels kupitia Yacineapp.
Leo Yacineapp imegoma kufunguka inataka nidownload upya,nikienda kwenye option ya kudownload na kuinstall setting zote ila nikifungua app bado wananiletea ujumbe wa kudownload. View attachment 3066090