IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,733
- 7,074
Tafuteni Kipa wa kueleweka
Mpira wenu unaleta matumaini ila mukishindwa kufanya vizuri kwenye usajili timu itakuwa kama tottenham.Amkeni wakuu tunawasulubu
Kwenye usajili yani hatuelewekiMpira wenu unaleta matumaini ila mukishindwa kufanya vizuri kwenye usajili timu itakuwa kama tottenham.
Namuamini MICHAEL EDWARD
Chelsea wenyewe wanatafuta watu wa kuwashikisha mizigo 10...wewe unataka kuwauzia mizigo tena. Ongeeni na matajiri wa Saudia vizuri wawasaidia kusafisha zizi.Casemiro
Victor lindelof
Eriksen
Mctominay
Pellistri
Wan bissaka
Tunatafuta wateja, chelsea mko wapi?
Msimu uliopita tuliumizwa na injuries kwanini tuongeze wagonjwa tarajali wawili ?Fanya uchunguzi wako vizuri kuhusu national team ya Morocco. Noussair Mazraoui ni kama alivyo Matthijs de Ligt weakness zao kubwa they're susceptible to injuries ila wakiwa fit ni wachezaji wazuri sana.
Uongozi uliopita uliacha madudu makubwa niliwahi kuandika hapa kwa kirefu kipindi cha nyuma. Sio rahisi sisi kupata wachezaji tunaowataka kwa 100%, timu nyingi zinajua we're desperate. Matthijs de Ligt sio original target ya United. Tulimtaka Jarrad Braithwaite & Jean Todibo. Japokuwa de Ligt ana quality kubwa but he cannot be trusted kucheza mechi 30 za premier league.Msimu uliopita tuliumizwa na injuries kwanini tuongeze wagonjwa tarajali wawili ?
Mishahara mikubwa sio rahisi kuuzika. Timu nyingi zinataka ada ndogo ya uhamisho kutoka kwetu ili wafidie mishahara. Kuna taarifa za ndani zinasema wote hao ndani ya uongozi mpya kufika mwezi wa 6 mwakani watakuwa wameondolewa.Casemiro
Victor lindelof
Eriksen
Mctominay
Pellistri
Wan bissaka
Tunatafuta wateja, chelsea mko wapi?
Wawekeni rasta kichwani muwauze fasta kwa chelsea, Casemiro mkimuweka rasta simba tunatuma ofa fastaCasemiro
Victor lindelof
Eriksen
Mctominay
Pellistri
Wan bissaka
Tunatafuta wateja, chelsea mko wapi?
Kwahiyo AWB nae anakuwa kama Maguire!! Mikatabaa ina rahaa yake.tunavuna tulichopanda
==========
mufc have no desire to pay Aaron Wan-Bissaka £7 million to leave the club, and West Ham are also in no position to pay such a hefty fee on top of the transfer figure. [C&H]