Kwa Upande wangu Hizi Taarifa za Majeraha ni kama Nimependa Muda Zimejitokeza.
Pre-Season, Mwaka Jana Mainoo aliumia kwa Mechi aina hizi, Mbadala akaletwa Mwishoni tena kwa Mkopo Amrabat! INEOS Imeweka Uongozi kwa kufikia sasa Unajitahidi.
UTD inamhitaji sana De Ligt Sababu ndo kwanza ana Miaka 24, Ameanza ng'aa tangu ana miaka 17! Uzoefu wa timu ya Kumiliki Mpira {Ajax}, Kuzuia {Juventus} na Kushambulia {Bayern} Kifupi amekomaa. Atakuwa ni Kiongozi mzuri sana kwa YORO ili asiingie kwenye timu na Pressure. Haya Majeraha yanatoa taswira inabidi uwe na Kikosi kipana chenye Ubora.