Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watakuwa wajinga mno yaani kocha achukue makombe mawili ndani ya misimu miwili halafu wamtimue, kocha toka aje anasumbuliwa na majeruhi ya key players ila bado kaibua vijana wadogo wazuri wanaotarajia kufanya timu kuwa tishio huko mbeleni. Wakimtimua huyu kocha tajua timu yetu kweli ina mashetani ambayo hayataki mafanikio yetu na huenda mule ndani ya uongozi kuna mashabiki wa Arsenal.
Washabiki wa arsenal
 
Washabiki wa arsenal
ndugu yangu mkorea karibu sana kwenye jukwaa la mabingwa, kama haitakukwaza tunaweza kukupa kombe upige nalo picha ili kupunguza machungu ya kumaliza msimu mikono mitupu.
IMG_20240526_083826.jpg
 
Manchester United are considering keeping Erik ten Hag as their manager for next season.

Source: 𝐒𝐚𝐦𝐮𝐞𝐥 𝐋𝐮𝐜𝐤𝐡𝐮𝐫𝐬𝐭

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240527_205922_912.jpg
 
𝐆𝐨𝐨𝐝𝐧𝐢𝐠𝐡𝐭


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240527_205640_353.jpg
 
ndugu yangu mkorea karibu sana kwenye jukwaa la mabingwa, kama haitakukwaza tunaweza kukupa kombe upige nalo picha ili kupunguza machungu ya kumaliza msimu mikono mitupu. View attachment 3001050
Hivi vikombe vya mbuzi ndio vilitupumbaza Sana. Dunia ya kupambania FA sisi tumeshaipita hiyo

Ila hongereni Sana mazee
 
Kwaiyo mko kwenye dunia ya kupigania nini mkorea wakati Uefa amna Epl nayo miaka 20 sasa amna.

Kiufupi tueleze mnapigania nini??
Uefa hatuna na ligi tunaukame wa miaka 20

Tuanze kwenye ligi
Misimu miwili tumeleta ushindani makubwa Sana kwa city kuhusu huu ubingwa. Hasa hasa msimu huu game za mwisho ndio zimeamua Nani ni champion

Kwenye UEFA msimu huo unaokuja ndio tunaingia rasmi. Huu msimu uliopita tulikua Kama tunatest mitambo

Arsenal tunaishi humo, aya ya kwanza na yapili.
 
Muppetiers on erik ten hag
View attachment 3001248
Sentensi ya pili kutoka ya mwisho
Sakata la ETH lina Taswira Mingi! UTD inatumika Sana na MEDIA, AGENTS, PLAYERS, Et. al! INEOS akichanga karata zake vyema Anaweza Pata Msingi bora kutokea kwenye Hili suala.

Kila Media imekuja na Lake Sky, Guardian, Mail, Telegraph, TeamTalk, MEN. Ila Uhalisia Hakuna cha Tier 1 wala Tier 1+ {Ornstein, Fabrizio} Mwenye Kujua. Muppetiers walijitahidi kiasi na Taarifa za INEOS Ila hapa na wao wametoka kapa

INEOS anatakiwa atumie hili suala kuvunja Mianya ya Kuvujisha Taarifa {Inasemekeana Kuna List feki Ilipelekwa kwa City, Hii inaonyesha kuna shida Mahali bado}, Hii ndo sehemu ya Kupunguza nguvu ya Mawakala, Media, na kubwa zaidi Wachezaji.
 
Uefa hatuna na ligi tunaukame wa miaka 20

Tuanze kwenye ligi
Misimu miwili tumeleta ushindani makubwa Sana kwa city kuhusu huu ubingwa. Hasa hasa msimu huu game za mwisho ndio zimeamua Nani ni champion

Kwenye UEFA msimu huo unaokuja ndio tunaingia rasmi. Huu msimu uliopita tulikua Kama tunatest mitambo

Arsenal tunaishi humo, aya ya kwanza na yapili.
tafuteni kwanza kocha wa kuelekeweka ndio muanze kufikiria habari za makombe, ni bora mumchukue hata George Ambangile ana uwezo mkubwa wa kuwapatia makombe ya maana kuliko huyo Tetea wenu.
Miaka 5 Arteta aliyochezea Arsenyo mafanikio yake makubwa ni makombe mawili ya FA na miaka 5 mingine ya ukocha kaishia kupata kombe moja la FA tena kwa msaada wa COVID-19 pandemic, kwa hio career yake yote ya miaka 10 ndani ya Arsenal mafanikio yake makubwa ni makombe 3 ya FA, halafu mnategemea aje kuwapea UEFA na EPL
 
Back
Top Bottom