mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,678
- 19,490
Washabiki wa arsenalWatakuwa wajinga mno yaani kocha achukue makombe mawili ndani ya misimu miwili halafu wamtimue, kocha toka aje anasumbuliwa na majeruhi ya key players ila bado kaibua vijana wadogo wazuri wanaotarajia kufanya timu kuwa tishio huko mbeleni. Wakimtimua huyu kocha tajua timu yetu kweli ina mashetani ambayo hayataki mafanikio yetu na huenda mule ndani ya uongozi kuna mashabiki wa Arsenal.






.


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃




𝐒𝐚𝐦𝐮𝐞𝐥 𝐋𝐮𝐜𝐤𝐡𝐮𝐫𝐬𝐭

