






Aaah kumbe mmeleta ushindani tu sawa sawa hata Liverpool alileta ushindani.Uefa hatuna na ligi tunaukame wa miaka 20
Tuanze kwenye ligi
Misimu miwili tumeleta ushindani makubwa Sana kwa city kuhusu huu ubingwa. Hasa hasa msimu huu game za mwisho ndio zimeamua Nani ni champion
Kwenye UEFA msimu huo unaokuja ndio tunaingia rasmi. Huu msimu uliopita tulikua Kama tunatest mitambo
Arsenal tunaishi humo, aya ya kwanza na yapili.
Here we go with Barcelona SC.Aaah kumbe mmeleta ushindani tu sawa sawa hata Liverpool alileta ushindani.
Madrid siyo ya watu wazuriKwa mpira uliopigwa jana UEFA Final aisee Man U inatakiwa isajili watu
Tutafika huko Ila siyo kwa zimamotoKwa mpira uliopigwa jana UEFA Final aisee Man U inatakiwa isajili watu
BREAKING NEWS:
MANCHESTER UNITED HUENDA WASIFUZU TENA EUROPA LIGI๐จ
Hii ndio sababu:
INEOS Group Limited anamiliki Nice na Manchester United na timu zote zimefuzu kwa mashindano hayo ya Europa League
Kanuni za UEFA zinakataza timu zinazomilikiwa na mmiliki huyo huyo kushiriki kwenye ligi inayofanana.
Hii inamaanisha nini:
Man United WANAWEZA kushushwa daraja kwenye Conference League na Chelsea WANAWEZA kuchukua nafasi yao ya Europa League
Source: @MailSport
Sheria yenyewe hii hapa
This article is not applicable if any of the cases listed under Paragraph 5.01 happens between:
1. a club qualifying for the UEFA Champions League and entering the league phase directly and a club qualifying for the UEFA Europa League or UEFA Conference League.
2. a club qualifying for the UEFA Champions League and entering the playoffs (champions path or league path) or the third qualifying round of the league path directly or for the UEFA Europa League and entering the league phase directly and a club qualifying for the UEFA Conference League.
Maelezo zaidi hapa: UEFA Documents
View attachment 3002046
Hayo ni maoni ya mshabiki kama wewe, UEFA bado hawajatoa maamuziView attachment 3006869
Hata mfanyaje conference aikwepeki.
Uefa hatuna na ligi tunaukame wa miaka 20
Tuanze kwenye ligi
Misimu miwili tumeleta ushindani makubwa Sana kwa city kuhusu huu ubingwa. Hasa hasa msimu huu game za mwisho ndio zimeamua Nani ni champion
Kwenye UEFA msimu huo unaokuja ndio tunaingia rasmi. Huu msimu uliopita tulikua Kama tunatest mitambo
Arsenal tunaishi humo, aya ya kwanza na yapili.
Ndani ya Miaka mitatu tu hapa, lazima tutaruka nalo. Iwe kihalali au tuliibeKwa hiyo tutegemee baada ya miaka mingapi mutakua mabingwa UCL?