Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unacheza na winger kama Garnacho na Rashid mpemba karibia msimu mzima unategemea striker apate mashuti mengi kwel
GREENWOOD amemfanya Mayoral azidi kuwaka. Ni Mchezaji Mzuri sana anayeweza Okoa Pesa Mingi kwa UTD kama watamrudisha. GREENWOOD ni Playmaking Winger Nje ya Hapo ni OLISE, afate KULUSEVSKI - NETO,

OLISE Hofu ni Majeraha na Shida kubwa ni Misuli tu! Msimu huu OLISE ana Magoli 10 na Assists 5 kwenye Mechi 13 tu alizoanza na 5 kama Sub. KWENYE TOP 3 YA RW EPL KWANGU MIMI ANAINGIA. Akipatikana ataongeza Utengenezaji wa Nafasi na HOJLUND aakuwa mnufaika wa kwanza.
 
GREENWOOD amemfanya Mayoral azidi kuwaka. Ni Mchezaji Mzuri sana anayeweza Okoa Pesa Mingi kwa UTD kama watamrudisha. GREENWOOD ni Playmaking Winger Nje ya Hapo ni OLISE, afate KULUSEVSKI - NETO,

OLISE Hofu ni Majeraha na Shida kubwa ni Misuli tu! Msimu huu OLISE ana Magoli 10 na Assists 5 kwenye Mechi 13 tu alizoanza na 5 kama Sub. KWENYE TOP 3 YA RW EPL KWANGU MIMI ANAINGIA. Akipatikana ataongeza Utengenezaji wa Nafasi na HOJLUND aakuwa mnufaika wa kwanza.
Olise ana uingereza ndani yake japo sasa anchezea ufaransa.. wachezaji wa kingereza wanaodevelop ni wachache sanaa
 
Olise ana uingereza ndani yake japo sasa anchezea ufaransa.. wachezaji wa kingereza wanaodevelop ni wachache sanaa
Sahihi Hili la EGO kwa waingereza linawatafuna {SAKA, PALMER Walikuwa Poa sana ila Kuna Namna wamebadilika kwa kasi Kitabia} Ulimzungumia EZE ila mpaka Msimu ujao unaanza atakuwa na 26yrs, OLISE 22yrs, Kwa PALACE kama UTD inaangalia Players OLISE na WHARTON ni Watu kabisa.

INEOS Changamoto sidhani kama wataanza kuangalia Mbali na Uingereza. Kuna Mathias Soule Mtu sana na ni Mali ya JUVE na hawatumii Winga ikapelekea Spurs Mpata KULUSEVSKI kirahisi. Ingetumika Mbinu Hiyo hiyo Kumfata SOULE wangepunguza Gharama.
 
OUT
1. Varane
2. Eriksen
3. Antony
4. Bissaka
5. Heaton
6. Evans
7. Amrabat
8. Casemiro
9. Lindelof
10. Scot/Maguire

Kipara atakuwa na kazi ngumu sana next season kuzidi hii aliyonayo.
Hii Itakuwa Poa sana kwa Kuanzia. Kuna Madogo Pia wa Academy ni wa kutoa wakapate Uzoefu. Hiyo List naona Kuna wafanyakazi hewa kama kina SHAW, RASHY Hata Hili la BRUNO Kama kuna Ofa nzuri wasikilize tu. Kuanzia 70 unauza tu.

Mount hajawa na Msimu mzuri ila Timu yote haijawa na Msimu mzuri. Kw AM's Sokoni ni wengi tu BRUNO Kafanya Makubwa ila anaweza akawa COUTINHO Wa UTD.
 
Hii Itakuwa Poa sana kwa Kuanzia. Kuna Madogo Pia wa Academy ni wa kutoa wakapate Uzoefu. Hiyo List naona Kuna wafanyakazi hewa kama kina SHAW, RASHY Hata Hili la BRUNO Kama kuna Ofa nzuri wasikilize tu. Kuanzia 70 unauza tu.

Mount hajawa na Msimu mzuri ila Timu yote haijawa na Msimu mzuri. Kw AM's Sokoni ni wengi tu BRUNO Kafanya Makubwa ila anaweza akawa COUTINHO Wa UTD.
Hauko serious mkuu.

Rashford
Garnacho
Bruno
Mainoo
Hojlund
Dalot
Martinez
Ndiyo base ya msimu ujao na misimu mitano ijayo huwezi ukauza your best players. Kwa hasira tu.

Luke Shaw
Malacia
Mount
Bado wanaweza kupata second chance kama tukipata versatile fullback anayeweza kucheza flanks zote.

Hao watoto wa academy wapo wengi watarejea kutoka kwenye loan deals haieleweki hatma zao.
1. Greenwood anaweza kuuzwa kupoza makali ya FFP rules
2. Pelistri
3. Charlie Savage
4. Alvaro Fernandez
5. Zidan Iqbal japo sina hakika kama hakuuzwa mazima.
 
Sahihi Hili la EGO kwa waingereza linawatafuna {SAKA, PALMER Walikuwa Poa sana ila Kuna Namna wamebadilika kwa kasi Kitabia} Ulimzungumia EZE ila mpaka Msimu ujao unaanza atakuwa na 26yrs, OLISE 22yrs, Kwa PALACE kama UTD inaangalia Players OLISE na WHARTON ni Watu kabisa.

INEOS Changamoto sidhani kama wataanza kuangalia Mbali na Uingereza. Kuna Mathias Soule Mtu sana na ni Mali ya JUVE na hawatumii Winga ikapelekea Spurs Mpata KULUSEVSKI kirahisi. Ingetumika Mbinu Hiyo hiyo Kumfata SOULE wangepunguza Gharama.
Tuone INEOS watakuja vip

Binafsi nitawaamini kwenye usajiri kwanza
 
OUT
1. Varane
2. Eriksen
3. Antony
4. Bissaka
5. Heaton
6. Evans
7. Amrabat
8. Casemiro
9. Lindelof
10. Scot/Maguire

Kipara atakuwa na kazi ngumu sana next season kuzidi hii aliyonayo.
Varane tayali, Ericksen kaomba kuondoka, Amrabati Ten hag kasema sio chaguo lake, Casemiro pumzi imeshakata, Evans alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja..


Antony hawawezi kumuachia kwa sababu mia inawauma, Bissaka ni kama nilisikia anaandaliwa kandarasi mpya
 
Back
Top Bottom