D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Maisha bila ya bruno fernandez bado sijakubaliana nayo
Unacheza na winger kama Garnacho na Rashid mpemba karibia msimu mzima unategemea striker apate mashuti mengi kwelmechi zote alizocheza amepiga mashuti 36, dah tumeoza
View attachment 2989963
Hatupigwi tenaTunawaletea nacho sasa😂😂
Hongera kwa kushinda kombe la 3 phases msimu huuBinafsi nitoe shukrani za dhati kwa manyumbu kwa kutimiza ahadi yao ya kutoa alama tatu kwa chama kubwa The Arsenal japo kwa mbinde ile muhimu mliachia
Till next time View attachment 2989519
GREENWOOD amemfanya Mayoral azidi kuwaka. Ni Mchezaji Mzuri sana anayeweza Okoa Pesa Mingi kwa UTD kama watamrudisha. GREENWOOD ni Playmaking Winger Nje ya Hapo ni OLISE, afate KULUSEVSKI - NETO,Unacheza na winger kama Garnacho na Rashid mpemba karibia msimu mzima unategemea striker apate mashuti mengi kwel
Olise ana uingereza ndani yake japo sasa anchezea ufaransa.. wachezaji wa kingereza wanaodevelop ni wachache sanaaGREENWOOD amemfanya Mayoral azidi kuwaka. Ni Mchezaji Mzuri sana anayeweza Okoa Pesa Mingi kwa UTD kama watamrudisha. GREENWOOD ni Playmaking Winger Nje ya Hapo ni OLISE, afate KULUSEVSKI - NETO,
OLISE Hofu ni Majeraha na Shida kubwa ni Misuli tu! Msimu huu OLISE ana Magoli 10 na Assists 5 kwenye Mechi 13 tu alizoanza na 5 kama Sub. KWENYE TOP 3 YA RW EPL KWANGU MIMI ANAINGIA. Akipatikana ataongeza Utengenezaji wa Nafasi na HOJLUND aakuwa mnufaika wa kwanza.
Hata goli alizofunga amejitahidi sana.mechi zote alizocheza amepiga mashuti 36, dah tumeoza
View attachment 2989963
Sahihi Hili la EGO kwa waingereza linawatafuna {SAKA, PALMER Walikuwa Poa sana ila Kuna Namna wamebadilika kwa kasi Kitabia} Ulimzungumia EZE ila mpaka Msimu ujao unaanza atakuwa na 26yrs, OLISE 22yrs, Kwa PALACE kama UTD inaangalia Players OLISE na WHARTON ni Watu kabisa.Olise ana uingereza ndani yake japo sasa anchezea ufaransa.. wachezaji wa kingereza wanaodevelop ni wachache sanaa
Hii Itakuwa Poa sana kwa Kuanzia. Kuna Madogo Pia wa Academy ni wa kutoa wakapate Uzoefu. Hiyo List naona Kuna wafanyakazi hewa kama kina SHAW, RASHY Hata Hili la BRUNO Kama kuna Ofa nzuri wasikilize tu. Kuanzia 70 unauza tu.OUT
1. Varane
2. Eriksen
3. Antony
4. Bissaka
5. Heaton
6. Evans
7. Amrabat
8. Casemiro
9. Lindelof
10. Scot/Maguire
Kipara atakuwa na kazi ngumu sana next season kuzidi hii aliyonayo.
Hauko serious mkuu.Hii Itakuwa Poa sana kwa Kuanzia. Kuna Madogo Pia wa Academy ni wa kutoa wakapate Uzoefu. Hiyo List naona Kuna wafanyakazi hewa kama kina SHAW, RASHY Hata Hili la BRUNO Kama kuna Ofa nzuri wasikilize tu. Kuanzia 70 unauza tu.
Mount hajawa na Msimu mzuri ila Timu yote haijawa na Msimu mzuri. Kw AM's Sokoni ni wengi tu BRUNO Kafanya Makubwa ila anaweza akawa COUTINHO Wa UTD.
Tuone INEOS watakuja vipSahihi Hili la EGO kwa waingereza linawatafuna {SAKA, PALMER Walikuwa Poa sana ila Kuna Namna wamebadilika kwa kasi Kitabia} Ulimzungumia EZE ila mpaka Msimu ujao unaanza atakuwa na 26yrs, OLISE 22yrs, Kwa PALACE kama UTD inaangalia Players OLISE na WHARTON ni Watu kabisa.
INEOS Changamoto sidhani kama wataanza kuangalia Mbali na Uingereza. Kuna Mathias Soule Mtu sana na ni Mali ya JUVE na hawatumii Winga ikapelekea Spurs Mpata KULUSEVSKI kirahisi. Ingetumika Mbinu Hiyo hiyo Kumfata SOULE wangepunguza Gharama.
Mkuu huu Muda ungetumia kufunga kuombea Arsenal yamkini maombi yako yakafanya kazi mkashinda ubingwa😂kuliko kutuwaza sisiKosi lipi linacheza leo wadau?
Varane tayali, Ericksen kaomba kuondoka, Amrabati Ten hag kasema sio chaguo lake, Casemiro pumzi imeshakata, Evans alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja..OUT
1. Varane
2. Eriksen
3. Antony
4. Bissaka
5. Heaton
6. Evans
7. Amrabat
8. Casemiro
9. Lindelof
10. Scot/Maguire
Kipara atakuwa na kazi ngumu sana next season kuzidi hii aliyonayo.
Ubingwa ulishaenda na maji kitambo tu.Mkuu huu Muda ungetumia kufunga kuombea Arsenal yamkini maombi yako yakafanya kazi mkashinda ubingwa😂kuliko kutuwaza sisi