Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

2nd season at Man United...

Erik Ten Hag:

• 8th place (worst ever)
• 60 PL points (second worst ever)
• -1 gd (worst ever)
• 14 PL defeats (worst ever)

José Mourinho:

• 2nd place
• 81 PL points (best post SAF)
• +40 gd (best post SAF)
• 19 clean sheets (best post SAF)
Bado uko obssessed na kufukuzwa kwa Mourinho ?

Unaweka msimu aliokuwa form je msimu ambao hakuwa form akafukuzwa mbona hujaweka ?

Mourinho toka amefukuzwa United ni vilabu vingapi ametimuliwa pia ?
 
Sahihi! Bruno, Rashy, Shaw, Casa Hawa wakati Mzuri kuwauza. Rashy amesaini mkataba Mpaka 2028 na kwa wiki anachukua 375k + Bonus, Casa anachukua 450k + Bonus, Ukiangalia Wastani wa Umri wao na Unataka tengeneza timu wote ni wa Kuondoa.

Hojlund, Mainoo, Licha, Garnancho, na Kiasi flani Onana, Dalot, Mount, Amad unaweza ukaanzia. Ingawa Dalot na Garnacho Kuanza kila Game sio. Wafunike Kombe warudishe Greenwood & Sancho. {Hawa Waloyapitia watapunguza ule "UFAZA" wa Kiingereza}
Usiishi kwa wishful thinking mkuu
 
Usiishi kwa wishful thinking mkuu
UTD kiuhalisia hamna namna yeyote inaweza Piga hatua kuendelea kuwa na Hili kundi la Wachezaji.

Kuna Wachezaji waliopo waliocheza kwa Karibu walimu 5. Kibaya ni Kwamba Uwezo wao ni Mdogo. Huwezi toa Wote katika Dirisha Moja ila Ni Muhimu kuwatoa inapowezekana.

Sidhani kama ni "Wishful" Mkuu ama labda sijakuelewa. Ila UTD ni ya Kuweka Mentality Mpya na namna Pekee ni kwa Kubadili Kundi Lililopo kwa sasa.
 
Kichekesho kingine hiki hapa, hizi NYUMBU nazo zinaamini zitashiriki michuano ya Ulaya kwa kuifunga man City kwenye fainali ya FA. Kuna mambo huhitaji kufikiria sana
 
Endeleeni kubaki na tapeli 7hag tu, msimu ujao hatutaki lawama
Watu wanaojua mpira wameona kitu kwenye mpira anaofundisha V. Kompany
.

.

More on Vincent Kompany and FC Bayern story revealed earlier today.

Understand Kompany has already received direct call from Bayern board to be informed on his situation.

Kompany was open to discuss, still early stages but interest is confirmed — he’s in the list.
IMG-20240521-WA0022.jpg
 
Bwana Rashford haamini kama katemwa Euro na madogo kibao wameitwa over yeye, hii iwe wake up call yake, akilegea kuja kurudi itamchukua muda sana. Kuna madogo pale England wanakiwasha sana
 
Bwana Rashford haamini kama katemwa Euro na madogo kibao wameitwa over yeye, hii iwe wake up call yake, akilegea kuja kurudi itamchukua muda sana. Kuna madogo pale England wanakiwasha sana
Hata wangemuita ningemshangaa sana Southgate.
Una
SAKA
FODEN
STERLING
PALMER
na yule dogo wa Newcastle HuYU fala aende euro kufanya nini? Kimsingi kuna wachezaji wengi wazuri kuliko yeye kwenye ile namba labda wamuite kwa mazoea tu kama 10Hag alivyomzoesha tayari.
United ipo hapo ilipo sababu ya kima kama yeye.
 
Hata wangemuita ningemshangaa sana Southgate.
Una
SAKA
FODEN
STERLING
PALMER
na yule dogo wa Newcastle HuYU fala aende euro kufanya nini? Kimsingi kuna wachezaji wengi wazuri kuliko yeye kwenye ile namba labda wamuite kwa mazoea tu kama 10Hag alivyomzoesha tayari.
United ipo hapo ilipo sababu ya kima kama yeye.
Wamtoe Saka hapo wamuache kijana apumzike kidogo. Kwanza tayari ana injury.
 
Dunia haimpi heshima kubwa huyu mzee
INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisa

Hii Dunia kwa sasa kuna ANCELOTTI halafu wanakuja walimu wengine. Kuna haja ya Timu hizi kubwa kuanza Bet hata kwa walimu kama GASPERINI.
Kubwa zaidi kwa Gasperini anajua sana endeleza Talanta za Vijana, Hawahesabiki!
 
Back
Top Bottom