Mnakata tamaa mapema😂westham wenyewe walisema tangu mwanzo wataamua nani awe bingwa😬Ubingwa ulishaenda na maji kitambo tu.
Bora tukae humu tucheki mbwembwe za kosi la bwanyenye sir jim linavyoipa dunia furaha.
Naona anaigiza baada ya mechi kuisha, wanarap tu badala ya kuchukua kombe ili kesho magazeti na mitandao wapige pesa.Mkataba wa ERICKSON utakuwa na vipengele gani? Panga pangua hata awe m'bovu kiasi gani lazima acheze.
Pep ndiye mwenye hayo maamuzi. Arteta sijui alijisahauje wakati yeye ndiye aliyempa mbinu kibao tu Pep...Mnakata tamaa mapema😂westham wenyewe walisema tangu mwanzo wataamua nani awe bingwa😬
Kwa hiyo kule kwenu mnaaminishana kuwa arteta kamzidi mbinu kipara??😀Pep ndiye mwenye hayo maamuzi. Arteta sijui alijisahauje wakati yeye ndiye aliyempa mbinu kibao tu Pep...
Siyo hivyo, bali ameshirikiana naye sana na anamjua vizuri kuliko makocha wengi. Hivyo anaelewa kuliko wote kwa nini Kipara hapaswi kupewa upenyo hata mdogo kiasi gani katika mapambano ya ubingwa.Kwa hiyo kule kwenu mnaaminishana kuwa arteta kamzidi mbinu kipara??😀
Siyo hivyo, bali ameshirikiana naye sana na anamjua vizuri kuliko makocha wengi. Hivyo anaelewa kuliko wote kwa nini Kipara hapaswi kupewa upenyo hata mdogo kiasi gani katika mapambano ya ubingwa.






UTD imefeli kwa sababu ya kutojua ni Muda gani sahihi wa kufanya Dili zake na wachezaji kuhusu Mikataba na Ishu ya Sajili Pia.Hauko serious mkuu.
Rashford
Garnacho
Bruno
Mainoo
Hojlund
Dalot
Martinez
Ndiyo base ya msimu ujao na misimu mitano ijayo huwezi ukauza your best players. Kwa hasira tu.
Luke Shaw
Malacia
Mount
Bado wanaweza kupata second chance kama tukipata versatile fullback anayeweza kucheza flanks zote.
Hao watoto wa academy wapo wengi watarejea kutoka kwenye loan deals haieleweki hatma zao.
1. Greenwood anaweza kuuzwa kupoza makali ya FFP rules
2. Pelistri
3. Charlie Savage
4. Alvaro Fernandez
5. Zidan Iqbal japo sina hakika kama hakuuzwa mazima.
Huo ndio ukatili wa mpira wa miguu 😄😄😄. Ila yote maisha tu.Arsenal msipo chukua kombe nitawashangaa sana. Misimu miwili mpo on fire lakini mnatoka bila hata kombe la chai?
Mnaotofauti gani na Chelsea ambaye hayupo kwenye form?
Na Chelsea anaweza kupona akabeba kombe hata kabla yenu mlioko kwenye form![]()
Ndo maana nikasema nyie hamjifunzi kila siku ngoja tutakuja sisi tuwaonyeshe..Siyo hivyo, bali ameshirikiana naye sana na anamjua vizuri kuliko makocha wengi. Hivyo anaelewa kuliko wote kwa nini Kipara hapaswi kupewa upenyo hata mdogo kiasi gani katika mapambano ya ubingwa.
INEOS wamerecruit waingereza watupu kwenye key positions za timu na wote wametoka mid table teams na vilabu walivyotoka vina waingereza wengi kuliko foreigners hiyo inatosha kukupa picha tunakoelekea.Tuone INEOS watakuja vip
Binafsi nitawaamini kwenye usajiri kwanza
@MZANZIBARUTD imefeli kwa sababu ya kutojua ni Muda gani sahihi wa kufanya Dili zake na wachezaji kuhusu Mikataba na Ishu ya Sajili Pia.
Herrera, Mata, De Gea, Pogba, Lingard, Matic, CR7, Zlatan, Cavani, Varane, Martial, Hakuna hata Mchezaji Mmoja UTD imepata hata senti kwenye kuondoka kwao. Wote wameondoka kama FREE AGENTS.
Bruno ni Mzuri sana lakini huwezi tengeneza timu kumzunguka Ligi ikianza anaingia Miaka 30, Shaw anafika 29, Rashy 27 na hamna namna unaweza tengeneza timu kumzunguka hana Mentality ya Kuibeba timu.
BRUNO, SHAW, RASHY ni Muda sahihi wa Kuwauza kipindi hiki wanauzika.
Duuh kumbe ni yale yaleINEOS wamerecruit waingereza watupu kwenye key positions za timu na wote wametoka mid table teams na vilabu walivyotoka vina waingereza wengi kuliko foreigners hiyo inatosha kukupa picha tunakoelekea.
Zikipatikana Ofa Nzuri sidhani kama kuna Haja ya kuendelea kubaki nao. Umri sio Rafiki kwao na Rashy haonyeshi Dalili zozote za Kukua.Bruno na Rashy hawapaswi kuuzwa. Kitu bora itakuwa kusajili wachezaji bora kwenye hayo maeneo.
Hao ni wachezaji wazuri kuongeza ubora wa kikosi. Ukiwauza hao maana yake unaanza upya kutafuta wachezaji 4 na bado kikosi kizima kinahitaji maboresho.
Uzalendo muhimu. Hatutaki timu zetu za uingereza zijazwe watu wa mataifa ya nje 😀😀Duuh kumbe ni yale yale