mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Poleni Sana kwa haya mnayopitiaBadala ya kupandisha kiwango chake yeye anaongeza tattoo.
View attachment 2986697
Jpili tunaingia na formation ya 2-1-7
Yani beki wawil, kiungo mmoja, forward 7
Poleni Sana kwa haya mnayopitiaBadala ya kupandisha kiwango chake yeye anaongeza tattoo.
View attachment 2986697
Huyu jamaa tofauti yake na dembele ni Rangi tuuErik ten Hag: “Mason Mount has suffered a new injury and he won’t be available”.
Sa 12 sio mbali utapotea humu mkorea.Mkija Kama mlivoingia na crystal palace. Hatutaki lawamaView attachment 2984706
Mkuu inaonekana mmeshakua sugu, Sasa hii confidence unaitoa wapi?Sa 12 sio mbali utapotea humu mkorea.
Sifungwi na arsenal hii



Sio sugu mtoto yake nepi, nitishwe na man city hadi ww, mpe man u kwenye mkeka then subir kibunda huku ukiwa na maumivu moyon !!!Mkuu inaonekana mmeshakua sugu, Sasa hii confidence unaitoa wapi?![]()
Kikosi chenu mmekiona lakini? Msijelalamika tumewanyanyasa kijinsiaTunao-stream mechi leo hali mbaya. Bora wangempa kibali Elon na Starlink yake!
#GGMU