


Kweli leo nimeamini ule msemo wa akutukanae hakuchagulii tusi, Yaani mimi huyo nikashabikie Mirembe Fc kweli?
Over my dead body (in Manara voice)
mkorea nakupa siku 3 ya kuitisha press conference na kukana hio kauli yako la sivyo kesi yako utaenda kuijibu The Heague




Yaani timu tokea kuumbwa mbingu na nchi haijawahi kubeba kombe lolote la Ulaya? nikikosa timu si bora hata nishabikie Westham walau wao wana kombe la Europa.
Mtu yoyote akinionesha mchezaji hata mmoja wa Arsenyo ameshika tu kombe lolote la Ulaya mimi nitamuonesha Paka mwenye vichwa vitatu.