Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

nilidhani matapeli wapo manchester united pekee kumbe hata bayern munich kuna viongozi na wachezaji matapeli, tofauti yao na sisi kwa upande wa wachezaji ipo kiteknikali zaidi.

Gnabri, choupo moting, muller, sane, goretzka, coman, dier, upamecano wote hao kwa mtazamo wangu
hawastahili kuendelea kuwa wachezaji wa kikosi cha kwanza.

kwa kulifahamu hilo huenda walimuhitaji ralf rangnick si kwa sababu ya CV yake ya ukocha bali ni kwa uwezo wake wa kujenga timu. Nafikri kumkosa ralf rangnick ni pigo kubwa kwao nyuma ya pazia.

Sijui Arsenal walipatwa na changamoto gani mpaka wakashindwa kuwatoa bayern.
Lakini ndio mpira.
 
Ndio maana nyumbu wanakuhisi wewe Ni arsenal fan
Kweli leo nimeamini ule msemo wa akutukanae hakuchagulii tusi, Yaani mimi huyo nikashabikie Mirembe Fc kweli?
Over my dead body (in Manara voice) mkorea nakupa siku 3 ya kuitisha press conference na kukana hio kauli yako la sivyo kesi yako utaenda kuijibu The Heague
Yaani timu tokea kuumbwa mbingu na nchi haijawahi kubeba kombe lolote la Ulaya? nikikosa timu si bora hata nishabikie Westham walau wao wana kombe la Europa.
Mtu yoyote akinionesha mchezaji hata mmoja wa Arsenyo ameshika tu kombe lolote la Ulaya mimi nitamuonesha Paka mwenye vichwa vitatu.
 
Kweli leo nimeamini ule msemo wa akutukanae hakuchagulii tusi, Yaani mimi huyo nikashabikie Mirembe Fc kweli?
Over my dead body (in Manara voice) mkorea nakupa siku 3 ya kuitisha press conference na kukana hio kauli yako la sivyo kesi yako utaenda kuijibu The Heague
Yaani timu tokea kuumbwa mbingu na nchi haijawahi kubeba kombe lolote la Ulaya? nikikosa timu si bora hata nishabikie Westham walau wao wana kombe la Europa.
Mtu yoyote akinionesha mchezaji hata mmoja wa Arsenyo ameshika tu kombe lolote la Ulaya mimi nitamuonesha Paka mwenye vichwa vitatu.
Mkuu baada ya misimu miwili tunanyakua uefa na hapo nyumbuz wote wataujua ukweli
 
Kama ilivyotangazwa na ndugu mkorea ule mchango wa alama tatu kwa The Arsenal utaendelea, na jumapili hii ni zamu ya manjesta kutoa kama walivyoahidi

Asanteni.
20240307_132459.jpg
 
Kama ilivyotangazwa na ndugu mkorea ule mchango wa alama tatu kwa The Arsenal utaendelea, na jumapili hii ni zamu ya manjesta kutoa kama walivyoahidi

Asanteni.View attachment 2985392
Mnaona kama utani ila jumapili arsenal mnaweza pata maumivu makali ambayo hamjawah kupata na zaid pengine hio mechi hamtokamuisahau maishani...ngoja niishie hapa!
 
nilidhani matapeli wapo manchester united pekee kumbe hata bayern munich kuna viongozi na wachezaji matapeli, tofauti yao na sisi kwa upande wa wachezaji ipo kiteknikali zaidi.

Gnabri, choupo moting, muller, sane, goretzka, coman, dier, upamecano wote hao kwa mtazamo wangu
hawastahili kuendelea kuwa wachezaji wa kikosi cha kwanza.

kwa kulifahamu hilo huenda walimuhitaji ralf rangnick si kwa sababu ya CV yake ya ukocha bali ni kwa uwezo wake wa kujenga timu. Nafikri kumkosa ralf rangnick ni pigo kubwa kwao nyuma ya pazia.

Sijui Arsenal walipatwa na changamoto gani mpaka wakashindwa kuwatoa bayern.
Lakini ndio mpira.
Bayern Wanafelishwa sana na Uongozi Kama ilivyo tu kwa UTD.

Rangnick walitaka mtumia kama Solution ya Muda mfupi, Target kubwa kwa Bayern ni ALONSO, HOENESS ama KLOPP. RANGNICK Hata mamlaka asingekuwa nayo Makubwa sana mana Wamemwajiri MAX EBERL Siku si nyingi.

NAGELSMAN aliondoka Bayern sababu ya kutibuana na Uongozi na Wachezaji wengi umewataja hakuwataka {Wameshakuwa na Nguvu} + Sajili za Wachezaji wa Uongozi Pia kama kina MANE, Ila wakamtengenezea Zengwe wakadondokea kwa Mwalimu wa kawaida sana TUCHEL.
 
Mkuu baada ya misimu miwili tunanyakua uefa na hapo nyumbuz wote wataujua ukweli
nyie bado mna zaidi ya miaka 40 ya kusota jangwani, kamwe nyie mmesharamishiwa kuingia nchi ya ahadi, hiki kizazi chote cha kina Masingeli kitaishia kubeba tu misinia ya maharage na vibakuli vya Emirates, Makombe ya maana labda watakuja kubeba wajukuu au vitukuu vya kina Masingeli.
Nyie endeleeni kujifariji na Aerial duel, clean shit, position interchange, pressing na overloading bila kusahau ukubwa wa GD
 
Kama ilivyotangazwa na ndugu mkorea ule mchango wa alama tatu kwa The Arsenal utaendelea, na jumapili hii ni zamu ya manjesta kutoa kama walivyoahidi

Asanteni.View attachment 2985392
Hili bakuli la kuchangia Jambo la arsenal, nyumbuz wamesema hawana kinyongo. Watatupa ushirikiano wote

Beki nyingi za nyumbu zipo kitandani, Evans na Jesus wanajuana
 
nilidhani matapeli wapo manchester united pekee kumbe hata bayern munich kuna viongozi na wachezaji matapeli, tofauti yao na sisi kwa upande wa wachezaji ipo kiteknikali zaidi.

Gnabri, choupo moting, muller, sane, goretzka, coman, dier, upamecano wote hao kwa mtazamo wangu
hawastahili kuendelea kuwa wachezaji wa kikosi cha kwanza.

kwa kulifahamu hilo huenda walimuhitaji ralf rangnick si kwa sababu ya CV yake ya ukocha bali ni kwa uwezo wake wa kujenga timu. Nafikri kumkosa ralf rangnick ni pigo kubwa kwao nyuma ya pazia.

Sijui Arsenal walipatwa na changamoto gani mpaka wakashindwa kuwatoa bayern.
Lakini ndio mpira.
Hao wachezaji ulio wataja ni bora 2/3 kuliko wachezaji wote pale OT
 
Goli la kwanza kipa serious anadaka ile ilikuwa poor positioning ya kipa

Goli la pili alitakiwa kum close down maleta yeye kabaki kwenye mstari. Hakuna kipa pale

Kuna msimu United walikuwa na defense mbovu lakini wakabebwa na De gea Onana ameshindwa ku step up tafuteni kipa wa kueleweka
Mkuu hii game uliangalia kweli? Goal la pili unamlaumu Onana? Hukuona Evans alivopitwa pale na anajua kabaki yeye tu then kipa?

Goal la kwanza kapigwa sana Allison hizi goal za hivi mpaka mmetoka kwenye mbio za ubingwa, ile ni ufundi umetumika, goal zuri sana kipa yoyote anafungwa.

Kuna matatizo mengi sana Man U ila kufikia kwa Onana ni bado kidogo.
 
Back
Top Bottom