Bukayo Saka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 303
- 469
Mkuu hii game uliangalia kweli? Goal la pili unamlaumu Onana? Hukuona Evans alivopitwa pale na anajua kabaki yeye tu then kipa?Goli la kwanza kipa serious anadaka ile ilikuwa poor positioning ya kipa
Goli la pili alitakiwa kum close down maleta yeye kabaki kwenye mstari. Hakuna kipa pale
Kuna msimu United walikuwa na defense mbovu lakini wakabebwa na De gea Onana ameshindwa ku step up tafuteni kipa wa kueleweka
Poleni Sana kwa haya mnayopitiaBadala ya kupandisha kiwango chake yeye anaongeza tattoo.
View attachment 2986697
Huyu jamaa tofauti yake na dembele ni Rangi tuuErik ten Hag: “Mason Mount has suffered a new injury and he won’t be available”.
Sa 12 sio mbali utapotea humu mkorea.Mkija Kama mlivoingia na crystal palace. Hatutaki lawamaView attachment 2984706
Mkuu inaonekana mmeshakua sugu, Sasa hii confidence unaitoa wapi?Sa 12 sio mbali utapotea humu mkorea.
Sifungwi na arsenal hii



Sio sugu mtoto yake nepi, nitishwe na man city hadi ww, mpe man u kwenye mkeka then subir kibunda huku ukiwa na maumivu moyon !!!Mkuu inaonekana mmeshakua sugu, Sasa hii confidence unaitoa wapi?![]()