Mkuu, back line ina Casemiro kama no 5, jana kaweka record ya kuzungushwa mara 8 in a single game, ina evans anasogelea miaka 40, una Wan Bissaka hajui hata ku turn yeye ni ma kwanja tu, una Dalot leo mzuri kesho anakushangaza, mbele yao una Ericksen kanenepeana kama Mwijaku, unamlaumu Onana? Mpe Pep Onana na footwork yake uone mabalaa.Naendelea kusisitiza tafuteni kipa wa kueleweka
inahuzunusha kidogo asee. ila hatuna la kuwasaidia nyumbu wenyewe wana mdomo balaaUna maanisha, ukichukua average game ya dk 100 (ma dk ya nyongeza ni mengi siku hizi) Saliba anapitwa mara moja kwa mechi 5? VVD anapitwa mara moja kwa mechi 15? Ni shida aisee.
Ila Casemiro likuwa anaongoza ligi kwa kupitwa tangu akiwa kati, sasa wamempeleka beki. Huyu ndiye anakuja kukutana na akina Trossard na Saka? Akitoka Trossard anaingia Martinelli? Akitoka Kai anaingia Jesus? Itakuwaje sasa?
Goli la kwanza kipa serious anadaka ile ilikuwa poor positioning ya kipaMkuu, back line ina Casemiro kama no 5, jana kaweka record ya kuzungushwa mara 8 in a single game, ina evans anasogelea miaka 40, una Wan Bissaka hajui hata ku turn yeye ni ma kwanja tu, una Dalot leo mzuri kesho anakushangaza, mbele yao una Ericksen kanenepeana kama Mwijaku, unamlaumu Onana? Mpe Pep Onana na footwork yake uone mabalaa.
Kuna watu wa kulaumu kwanza kabla hujamfikia Onana.
Mkuu deep down mnajua ninachoongea.sisi hatutafuti furaha bali furaha ndo inakuja yenyewe kwetu
kati aliyefungwa 4 bila na watoto, na aliyempiga mtoto huyohuyo goli za kutosha
nani mwenye huzuni hapo
sijui kama umenielewa kiongozi
Gemu ngumu sana kwenu utaniambia mkuuYaani ligi nzima ila siyo sisi na Livakuku?
Munaeza shangaa hiyo game manjestaa akashinda..Hawa jumapili twende na Vaseline Jelly shehe...inaonekana hawana hiyana kabisa hawa
Siku hizi mashabiki wa united tumekubali yaishe.
Ten Hag alitakiwa aseme mwenyewe kuwa anamwaga manyanga asisubiri kufukuzwa umbwa huyu.
Mlivyo wajinga mnalinganisha DM ambaye anacheza CB kwa dharura na centrebacks wa kudumu.