Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwanangu Flano hunaga baya.Ila jumapili kazeni basi maana mkifanya mchezo mnaweza kula wiki tena
 
Referee kabeti
Kama kabeti ni kwa Nyumbu wa Serengeti
Chelsea katika faulu 7 kapewa yellow 3 wakati Nyumba kafanya faulu 15 hakuna hata yellow moja na faulu zingine zilikuwa obvious yellow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…