Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 14,905
- 34,435
Daaahhh Rashidiiiii unazinguaaaaa unakosaje goli la wazi hivyo![]()

afu una pewa taarifa Rashid kagoma kwenda PSG kenge hiiDaaahhh Rashidiiiii unazinguaaaaa unakosaje goli la wazi hivyo![]()

afu una pewa taarifa Rashid kagoma kwenda PSG kenge hiiHiyo inaitwa goodbye and good riddanceMambo gani sasa haya? Kwa hiyo hamtaki Klopp asepe kwa furaha?
Siyo poa. Mbona Ferguson alisepa kwa furaha? Ni Wenger tu ndiye alisepa kwa huzuni.Hiyo inaitwa goodbye and good riddance
Kuna baadhi ya watu walikuwa wanapendekeza kama Klopp akitoka Liver aje Old TraffordSiyo poa. Mbona Ferguson alisepa kwa furaha? Ni Wenger tu ndiye alisepa kwa huzuni.
Hawa Manunu hawatachukua hili kombe🤠🤠... officially Man City anabaki na kombe lake...Bora Livakuku wamechinjwa...maana shingo zilishazidi vichwa Hawa kukuSiyo poa. Mbona Ferguson alisepa kwa furaha? Ni Wenger tu ndiye alisepa kwa huzuni.
Bado anawafaa sana kuliko Ten Hag kwa ligi ya mechi 38 na vikombe vingine.Kuna baadhi ya watu walikuwa wanapendekeza kama Klopp akitoka Liver aje Old Trafford
Sasa sijui leo watasemaje
Sasa wamesababisha Klopp asepe na ki Carabao cup tu. Akijitahidi sana labda Europa. Premier League wababe wa ligi a.k.a ze ganaz tumesharudi kumwaga mchanga kwenye pilau. Bado Mamacita naye anataka kuja kupiga teke sinia kabisa. Hebu tusubiri tuone itkavyo kuwa.Hawa Manunu hawatachukua hili kombe🤠🤠... officially Man City anabaki na kombe lake...Bora Livakuku wamechinjwa...maana shingo zilishazidi vichwa Hawa kuku