HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,643
- 7,073
Bado anawafaa sana kuliko Ten Hag kwa ligi ya mechi 38 na vikombe vingine.Kuna baadhi ya watu walikuwa wanapendekeza kama Klopp akitoka Liver aje Old Trafford
Sasa sijui leo watasemaje
Bado anawafaa sana kuliko Ten Hag kwa ligi ya mechi 38 na vikombe vingine.Kuna baadhi ya watu walikuwa wanapendekeza kama Klopp akitoka Liver aje Old Trafford
Sasa sijui leo watasemaje
Sasa wamesababisha Klopp asepe na ki Carabao cup tu. Akijitahidi sana labda Europa. Premier League wababe wa ligi a.k.a ze ganaz tumesharudi kumwaga mchanga kwenye pilau. Bado Mamacita naye anataka kuja kupiga teke sinia kabisa. Hebu tusubiri tuone itkavyo kuwa.Hawa Manunu hawatachukua hili kombe🤠🤠... officially Man City anabaki na kombe lake...Bora Livakuku wamechinjwa...maana shingo zilishazidi vichwa Hawa kuku
Me nilikuwa sielewi ila naona tu ball linatembea nikaona acha ikae...Naomba kujua.
Dakika za mwisho Bruno alihamia kucheza namba ngapi
Hahahahaha kwa hiyo leo walitaka kuvunja mwiko??
Halafu kuna mamburula wanafurahia hapa..yule mbwa yuko mahali anakunywa whiskey kwa dharau sana anajua labda atakutana na sisi atatupiga goli 3, tena kwa kikosi BNi bahati ila kisoka bado sana sie
Hii ndio liverpool iliyomfanya pep apaki bus second half yote
😂😂😂Kuna rekodi nyingine bhana ni kama zinachezaHahahahaha kwa hiyo leo walitaka kuvunja mwiko??
Walishindwa wenzao kina Aston Villa kuvunja mwiko wa kutufunga kwenye Boxing day sembuse wao??
Niliangalia ukali wa ile liverpool last week iliyo-draw na City nikajua leo tunakula sita. Kumbe mpira unadunda aisee.Ni bahati ila kisoka bado sana sie
Hii ndio liverpool iliyomfanya pep apaki bus second half yote
Wewe Arse8 una chuki na bwana wako aliyekuchakaza 8.Hawa Manunu hawatachukua hili kombe🤠🤠... officially Man City anabaki na kombe lake...Bora Livakuku wamechinjwa...maana shingo zilishazidi vichwa Hawa kuku
Ile game City walikimbizwa balaaNiliangalia ukali wa ile liverpool last week iliyo-draw na City nikajua leo tunakula sita. Kumbe mpira unadunda aisee.
Kocha huyu mawenge sana. Unaona academy wanavyopeleka moto?Amad anajua anashangaa kocha hamchezeshi