Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa Manunu hawatachukua hili kombe🤠🤠... officially Man City anabaki na kombe lake...Bora Livakuku wamechinjwa...maana shingo zilishazidi vichwa Hawa kuku
Sasa wamesababisha Klopp asepe na ki Carabao cup tu. Akijitahidi sana labda Europa. Premier League wababe wa ligi a.k.a ze ganaz tumesharudi kumwaga mchanga kwenye pilau. Bado Mamacita naye anataka kuja kupiga teke sinia kabisa. Hebu tusubiri tuone itkavyo kuwa.
 
Screenshot_20240317-192919 (2).png
 
Ni bahati ila kisoka bado sana sie

Hii ndio liverpool iliyomfanya pep apaki bus second half yote
Halafu kuna mamburula wanafurahia hapa..yule mbwa yuko mahali anakunywa whiskey kwa dharau sana anajua labda atakutana na sisi atatupiga goli 3, tena kwa kikosi B
Yule mbwa anamuogopa klopp kama ukoma, kwanza alivyosikia anaondoka alifurahi kinyama
 
Back
Top Bottom