Manabii wasifumbiwe macho wanapotukana mamlaka

Cha kushangaza kina Trump wanakosolewa mpka na mawazir waliowateua wenyew, lakin bongo tuna Mr. Perfect hatak ata umwambie mvua inanyesha ata km kwel inanyesha.
 
Habari wakuu,

Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.

Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.

Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Unafiki mtupu
 
Hivi polepole hajamsikia kakobe?
Kamsikia na anamwelewa kwa maana ndo aliyokuwa anayaongolea Polepole kabla ya kushibishwa, inawezekana amekaa kimya kuunga mkono hizi juhudi za Kakobe kuweka mambo sawa
 
Baadhi ya wahubiri siku hizi hawahubiri neno wanashambulia dola. Yapo mambo mengi ya kuzungumzia Kanisani kwa faida ya waumini na Injili ya Yesu.
Nenda ukawasaidie ww ao waumini kama kweli na ww unayajua ayo maono.
 
Baadhi ya wahubiri siku hizi hawahubiri neno wanashambulia dola. Yapo mambo mengi ya kuzungumzia Kanisani kwa faida ya waumini na Injili ya Yesu.
Kwa hiyo akikosolewa sio injili ya yesu? Unafahamu maana ya injili? Acha ulevi basi
 
Mcben100 mbona umegeuza kichwa cha abali cha huu uzi wako? Ulipaswa kuandika hivi manabii. Sifumbie macho mamlaka inayokiuka Katiba na sheria .
 
Kuna manabii wapi wahuni tu hawa hawana lolote, unakuta mtu anajiita nabii, sijui nani majina makubwa makubwa halafu unakuta analindwa na cop sijui lile andiko la BWANA asipoulinda mji waulindao wafanya kazi bure huwa wanapita wanasoma katikati ya mistari
Angalia kauli yake inaukweli kiasi gani.
 
Habari wakuu,

Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.

Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.

Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Ni habari nzuri lakini asilimia 90 ya wachangiaji wa uzi huu watakutukana au kukukejeli sababu hawajawahi kuwa Nuru hata siku moja ni wana wa Giza na wamelelewa katika uongo na uzandiki. Usife moyo.!
 
Habari wakuu,

Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.

Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.

Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Uchwara kapewa za uso
 
Ungesema manabii wa uongo, maana nabii wa ukweli hawezi kutukana mamlaka iliyowekwa na Mungu.
Hebu taja hapa hilo TUSI alilotukanwa JPM au hiyo Mamlaka . . .

Hata hilo tusi ktk andiko la mtoto Programmer95 sijaliona ...
 
Kama kiongozi wa dini anapotumia uhuru wake kuelezea hali ya nchi ilivyo atakuwa amevuka mipaka na anaitwa mchochezi, Je, inakuwaje kwa kiongozi wa nchi anapoenda makanisani kila mara na kuwambia hao viongozi wa dini na waumini wao kuwa wamuombee!?

Mgonjwa anapohitaji kuombewa huku ameficha uchawi ndani maombi hayo hayawezi kupokelewa mbinguni hata kidogo.

Hivyo itabidi waombaji wamwambie muombewa kuwa akateketeze uchawi wake kwanza ndo aje kwenye huduma ya maombi.

Haiwezekani kila siku mtukufu anazunguka makanisani na misikitini kuwambia waumini wamuombee wakati anayoyafanya yanadhurumu haki za hao waumini wenyewe.

Aanze kuwatendea yaliyo mema hao waombaji na Mungu kwanza ndipo naye aombe kuombewa.
 
Nyie mapumbafu ndiyo mnaotaabisha taifa mpaka Leo....yani huoni utumbo anaoufanya???
Vyama kuzuiwa kufanya siasa wakati yeye kila cku yupo majukwaani na ccm wenzake wakifanya siasa,kupiga watu risasi ,kufunga watu kwenye viroba,kubomolea watu nyumba kisa ni washabiki WA upinzani huoni,kufilisi matajiri kisa wanaunga mkono vyama pinzani huoni,kufungia magazeti kisa yanamwambia ukweli ,

Daaaa,a lot of foolish things you can mention....halafu jitu moja pumbafu kama wewe eti linauliza kasigina wapi katiba!!!!
Hajitambui huyo achana naye
 
Dah inaumiza kuona wana macho ila hawaoni wana maskio ila hawaskii.wamepoteza dira kabisaa anajipendekeza kwa binadamu
 
Habari wakuu,

Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.

Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.

Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Umejuaje kama alichokiingea ni uongo????
Ishi ukiwa unajua hata hao wachungaji na manabii ni sehemu ya raia so wanakuwa affected na matendo ya serikali....kusema neno juu ya uongozi wa serikali ni sahihi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom