Unafiki mtupuHabari wakuu,
Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.
Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.
Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.
Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Kamsikia na anamwelewa kwa maana ndo aliyokuwa anayaongolea Polepole kabla ya kushibishwa, inawezekana amekaa kimya kuunga mkono hizi juhudi za Kakobe kuweka mambo sawaHivi polepole hajamsikia kakobe?
Nenda ukawasaidie ww ao waumini kama kweli na ww unayajua ayo maono.Baadhi ya wahubiri siku hizi hawahubiri neno wanashambulia dola. Yapo mambo mengi ya kuzungumzia Kanisani kwa faida ya waumini na Injili ya Yesu.
Kwa hiyo akikosolewa sio injili ya yesu? Unafahamu maana ya injili? Acha ulevi basiBaadhi ya wahubiri siku hizi hawahubiri neno wanashambulia dola. Yapo mambo mengi ya kuzungumzia Kanisani kwa faida ya waumini na Injili ya Yesu.
Angalia kauli yake inaukweli kiasi gani.Kuna manabii wapi wahuni tu hawa hawana lolote, unakuta mtu anajiita nabii, sijui nani majina makubwa makubwa halafu unakuta analindwa na cop sijui lile andiko la BWANA asipoulinda mji waulindao wafanya kazi bure huwa wanapita wanasoma katikati ya mistari
Ni habari nzuri lakini asilimia 90 ya wachangiaji wa uzi huu watakutukana au kukukejeli sababu hawajawahi kuwa Nuru hata siku moja ni wana wa Giza na wamelelewa katika uongo na uzandiki. Usife moyo.!Habari wakuu,
Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.
Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.
Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.
Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Uchwara kapewa za usoHabari wakuu,
Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.
Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.
Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.
Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Hamna siasa hapo alichosema ni kweli uchwara ajirekebisheKobe angeachana na mambo ya siasa akaendelea kula sadaka za MAZWAZWA !
Hebu taja hapa hilo TUSI alilotukanwa JPM au hiyo Mamlaka . . .Ungesema manabii wa uongo, maana nabii wa ukweli hawezi kutukana mamlaka iliyowekwa na Mungu.
Hajitambui huyo achana nayeNyie mapumbafu ndiyo mnaotaabisha taifa mpaka Leo....yani huoni utumbo anaoufanya???
Vyama kuzuiwa kufanya siasa wakati yeye kila cku yupo majukwaani na ccm wenzake wakifanya siasa,kupiga watu risasi ,kufunga watu kwenye viroba,kubomolea watu nyumba kisa ni washabiki WA upinzani huoni,kufilisi matajiri kisa wanaunga mkono vyama pinzani huoni,kufungia magazeti kisa yanamwambia ukweli ,
Daaaa,a lot of foolish things you can mention....halafu jitu moja pumbafu kama wewe eti linauliza kasigina wapi katiba!!!!
Hizi ndo hoja za CHADEMA ya siku hizi. Hongera mkuu! umejitahidi kujenga hoja.Bandiko Takataka la kufungia mwaka hili
Unaniita malaya halafu unaomba tuheshimiane! Utakuwa na tatizo la uelewa.Hata dikteta ana wafuasi pia
Halafu tuheshimiane malaya wewe
Umejuaje kama alichokiingea ni uongo????Habari wakuu,
Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.
Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.
Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.
Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.