mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,488
- 2,979
Nimemuona mzee wa kiarabu akishuka na silaha pale baada ya kijana kuchafua gari lake kwenye kioo cha mbele kwa madai ya kusafisha ingawa alikatazwa kabla.
Wale vijana pale ni wasumbufu kupita kiasi mara nyingi sana wanachafua magari ya watu, wakati mwengine mtu ametoka car wash kabisa, ila ukifika pale wanamwaga mipovu kwenye kioo ili wasafishe na uwape hela, usipowapa wanakutukana,
Naomba sana serikali na polisi yenu angalieni hili kabla madhara hayajatokea, wale pale ni vibaka hadharani,
Au ndio ajira mumeziridhia hizi?
Kweli vijana wanaangamia
Wale vijana pale ni wasumbufu kupita kiasi mara nyingi sana wanachafua magari ya watu, wakati mwengine mtu ametoka car wash kabisa, ila ukifika pale wanamwaga mipovu kwenye kioo ili wasafishe na uwape hela, usipowapa wanakutukana,
Naomba sana serikali na polisi yenu angalieni hili kabla madhara hayajatokea, wale pale ni vibaka hadharani,
Au ndio ajira mumeziridhia hizi?
Kweli vijana wanaangamia