Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Learner41

Member
Oct 31, 2018
22
65
Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf?

======

#HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia Suluhu Hassan kuajiri vijana 1,000 zaidi ya idadi ya awali.

TRA ilipewa kibali cha kuajiri vijana 1,100 hata hivyo Rais Samia aliongeza idadi ili kuotoa msukumo mpya wa ukusanyaji mapato.

Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Samwel Tanguye ameiambia Daily News Digital kuwa idadi ya watumishi wengine wa TRA wataajiriwa hivi karibuni. TRA sasa inafikisha idadi ya watumishi 5000.

Alisema katika ajira za TRA vijana takribani 66,000 walituma maombi na baada ya kuchujwa kulingana na vigezo vijana 13,800 waliitwa kwenye usaili na 8,586 ndio waliofika kwenye usaili uliofanyika Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar.

Imeandaliwa na Idd Mwema
 

Attachments

  • 20220904561153TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA.pdf
    685.8 KB · Views: 163
Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf?

======

#HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia Suluhu Hassan kuajiri vijana 1,000 zaidi ya idadi ya awali.

TRA ilipewa kibali cha kuajiri vijana 1,100 hata hivyo Rais Samia aliongeza idadi ili kuotoa msukumo mpya wa ukusanyaji mapato.

Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Samwel Tanguye ameiambia Daily News Digital kuwa idadi ya watumishi wengine wa TRA wataajiriwa hivi karibuni. TRA sasa inafikisha idadi ya watumishi 5000.

Alisema katika ajira za TRA vijana takribani 66,000 walituma maombi na baada ya kuchujwa kulingana na vigezo vijana 13,800 waliitwa kwenye usaili na 8,586 ndio waliofika kwenye usaili uliofanyika Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar.

Imeandaliwa na Idd Mwema
Mkeka unatoka leo saa nne asubuhi. Pia katika zile nafasi 1100 wameongeza hao 300 .maana yake wataongeza walioachwa before kwenye database.
 
Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf?

======

#HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia Suluhu Hassan kuajiri vijana 1,000 zaidi ya idadi ya awali.

TRA ilipewa kibali cha kuajiri vijana 1,100 hata hivyo Rais Samia aliongeza idadi ili kuotoa msukumo mpya wa ukusanyaji mapato.

Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Samwel Tanguye ameiambia Daily News Digital kuwa idadi ya watumishi wengine wa TRA wataajiriwa hivi karibuni. TRA sasa inafikisha idadi ya watumishi 5000.

Alisema katika ajira za TRA vijana takribani 66,000 walituma maombi na baada ya kuchujwa kulingana na vigezo vijana 13,800 waliitwa kwenye usaili na 8,586 ndio waliofika kwenye usaili uliofanyika Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar.

Imeandaliwa na Idd Mwema
66000/13800/8586/13800

Ccm mbere kwa mbele
 
Back
Top Bottom