Mambo yanatambulisha Ujinga wa ki Africa

Mambo yanatambulisha Ujinga wa ki Africa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,893
Reaction score
36,392
1. Mke laZima Kulala ukutani
2. Kukojoa nyuma ya choo
3.ufagio unakaa nyuma ya mlango
4. Kila tajiri ni freemason au alitoka kafara
5.kufulia chupi maji yaliyobaki baada ya kuoga
6 kuisha vyombo kabla ya sufuria
7. Chai chapati 2 ndo sheria
8. Kula supu ya maharage.
Maharage Yana supu?
9. Kunusa chupi ya demu kabla ya tendo
10. Kuamini Kuna nguo ya bahati

Ongezea.........
 
1. Mke laZima Kulala ukutani
2. Kukojoa nyuma ya choo
3.ufagio unakaa nyuma ya mlango
4. Kila tajiri ni freemason au alitoka kafara
5.kufulia chupi maji yaliyobaki baada ya kuoga
6 kuisha vyombo kabla ya sufuria
7. Chai chapati 2 ndo sheria
8. Kula supu ya maharage.
Maharage Yana supu?
9. Kunusa chupi ya demu kabla ya tendo
10. Kuamini Kuna nguo ya bahati

Ongezea.........
Mmh haya yanafanyikia wapi
Anastasia21
 
11.una wait mume arudi ndo ule ivi Bado wapo wanafanya ivi mazee ukirudi home usile usitegemee utapikiwa Tena kula uko uko no mjadala🙌🏾
Unakulaje kabla ya mme kurudi
Unamwekea limbata zako
 
Back
Top Bottom