Strategist7
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 303
- 477
Kwanza ametekwa kweli?
Inasikitisha na inakatisha tamaa. Jamaa kashindwa kumiliki hata bastola ya kujitetea? Kashindwa kutafuta wahuni hapo Dar wamtafutie hata gobore la mchongo?Mkuu,
Hata hiyo chip yenyewe ni geresha tu.
Tulikuwa tunauliza sana kuwa what is the grand strategy? What is Polepole's strategy?
It turns out hakuwa hata na strategy ya kujilinda yeye mwenyewe, achilia mbali ya kukomboa nchi.
This is not a ridicule, this is evidenced by what happenned.
Mzee upo katika harakati za kuokoa roho yako huo muda unapata wapiGet lina pasuliwa kwanini hakurekodi ata kipande kidogo tu akatupia mtandaon
Kwa ile taarifa ya 'tunamsubiri arudi' uko sahihi sana.Aliingia Kwa kificho ndio imetoka hiyo watadai hajarudi Tanzania.
Hivi kama hakuwa na mkakati wa ukombozi, alipanga kuishi maisha aliyoishi hadi lini? Namuonea huruma sana uko alipo.
You are quite right mkuu. Alichokuwa anafanya Polepole ni kukaka tawi kwenye mti alioukalia. Mimi sina sympathies naye to be honest.Vibaya zaidi, ilikuwa ukiuliza maswali kama hayo wanaharakati wanakushambulia na kukubandika majina mabaya kama yote.
Yani hawakuweza kuelewa kuwa kuhoji strategy si kupinga mabadiliko.
False dichotomy logical fallacy.
Nafikiri zaidi ya utamaduni. Pole pole amekuwa na nafasi za juu za uongozi, anajua mbinu wanazotumia viongozi kutafuta wakosoaji. Kwa vita aliyoanzisha nilitegemea sio tu awe na back up za kiusalama bali back up ya kufikisha ujumbe aliotaka kusema. Hakuna mahala ameacha tape? Unataka kuniambia Polepole alipanga kuishi mafichoni maisha yake yote? Bado nina imani kuna zaidi yanaweza kuibuka. Natamabi kusema RIP, ila ngoja nisubiri.Polepole ni kielelezo cha Watanzania wengi wanavyoishi.
Watanzania wengi hawaishi kwa strategy, wanaishi kwa matumaini tu, kwa kumtumaini Mungu, kwa kuomba, kwa kutumaini mambo yataenda sawa. Kwa emotion, si kwa strategy.
Sishangai sana Polepole alivyofanya . Ningeweza kushangaa kama angekuwa anaishi kwenye nchi ya watu wanaoishi kwa strategy.
Angekuwa mtu wa ajabu na tofauti na wengine.
Sasa mtu kalelewa kwenye utamaduni ambao hauthamini strategic thinking.
Unategemea vipi aishi kwa strategic thinking?
Yani kwa vile kapata vyeo na kuwa balozi tu ndiyo mnataka kusahau umuhimu wa malezi na utamaduni wetu?
Baba yangu alowahi nambia.ikiwa utakufa kwa kuuwawa basi usife.kikondooo,,,,ilikua kwenye scenario ya uvamizi wa majambazi sehemu.inaitwa Katoro,,,, sasa.Polepole.hakua hata na bastola ?..Mkuu,
Hata hiyo chip yenyewe ni geresha tu.
Tulikuwa tunauliza sana kuwa what is the grand strategy? What is Polepole's strategy?
It turns out hakuwa hata na strategy ya kujilinda yeye mwenyewe, achilia mbali ya kukomboa nchi.
This is not a ridicule, this is evidenced by what happenned.
😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿Eeh Mungu wa mbinguni uliyetajwa na polepole mara kadhaa uko wapi?
jitukuze tunakuomba ili tuzidi kukuamin
Nakwambia hivi, mnawa overrate sana hao viongozi wa Tanzania.Nafikiri zaidi ya utamaduni. Pole pole amekuwa na nafasi za juu za uongozi, anajua mbinu wanazotumia viongozi kutafuta wakosoaji. Kwa vita aliyoanzisha nilitegemea sio tu awe na back up za kiusalama bali back up ya kufikisha ujumbe aliotaka kusema. Hakuna mahala ameacha tape? Unataka kuniambia Polepole alipanga kuishi mafichoni maisha yake yote? Bado nina imani kuna zaidi yanaweza kuibuka. Natamabi kusema RIP, ila ngoja nisubiri.
Kwenye ule uzi hakuna hata mtu mmoja aliyekubaliana na mimi, ilinishangaza sana.Vibaya zaidi, ilikuwa ukiuliza maswali kama hayo wanaharakati wanakushambulia na kukubandika majina mabaya kama yote.
Yani hawakuweza kuelewa kuwa kuhoji strategy si kupinga mabadiliko.
False dichotomy logical fallacy.
Sijui kuhusu yeye ,,ila anaweza kua mtu wa mfumo ,,,,kumbuka pole pole anapenda kua live ,na ni rahisi watu wa cyber kukufatilia location ukiwa live KULIKO kurecord na kurusha afterKwanza futa akilini kuhusu huyo uliyemu address kama afande tesha. Yule ni kijana mhuni tu ambaye hayupo kwenye kikosi jeshi chochote nchini.
Sure.MkuuKwa Makombora aliyo kuwa anayatoa,sikutegemea abakie hapa bongo aisee..hata kama hakuna mtu wa kumchoma..kama ni kweli katekwa basi polepole ni mpumbavu.
Na pia hata hao watekaji wamechelewa sana kumdaka,walitakiwa wawe wamemdaka mapema zaidi.
Mkuu,Baba yangu alowahi nambia.ikiwa utakufa kwa kuuwawa basi usife.kikondooo,,,,ilikua kwenye scenario ya uvamizi wa majambazi sehemu.inaitwa Katoro,,,, sasa.Polepole.hakua hata na bastola ?..
Nasikitika sana kusema kuwa Polepole was highly overrated.Kwenye ule uzi hakuna hata mtu mmoja aliyekubaliana na mimi, ilinishangaza sana.
Kwa exposure ya Polepole hata kama aliyoyaongea yana ukweli , hakupaswa kuyaongea bila kuwa na strstegic plan yenye athari. Kama aliongea kwa kutegemea backup ya akina Mzee Bujiku basi alikuwa fala sana.
Ukiwasikiliza ndugu, kwanza inaonekana kuna mtu alipindukia cos zile nyaya za ulinzi (za umeme) zinazunguka ukuta zilikatwa, hiki ni kiashiria kuna alianza kupindukia ukuta, hatujui labda wanatumia yale airfresh wanayotumia wezi kukulaza usingizi mzito.Get lina pasuliwa kwanini hakurekodi ata kipande kidogo tu akatupia mtandaon