Mambo ni Shwari, Hakuna tena Matamko ya Pasaka kutoka kwa Wakatoliki na ACT(Umoja wa Makanisa).

uran

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
7,579
10,811
Naona mambo sasa yamekaa sawa.

Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa.

Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko.

Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa.

Inamaana Wameshakubali sasa kucheza ngoma ya watawala?
 
Naona mambo sasa yamekaa sawa.

Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa.

Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko.

Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa.

Inamaana Wameshakubali sasa kucheza ngoma ya watawala?
Tecc kikundi cha mabwabwa tu,
Samia ni jemedari hatishwi na wagalatia wenye chuki
 
Naona mambo sasa yamekaa sawa.

Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa.

Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko.

Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa.

Inamaana Wameshakubali sasa kucheza ngoma ya watawala?
Achana na haya mambo mkuu
 
Back
Top Bottom