Mambo muhimu kwa mwanamke unapoolewa

Mambo muhimu kwa mwanamke unapoolewa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
1 . Mpe nafasi ya kucheat .as long atatumia protection n arudi kwa nyumba. Kwa maana ukishindana n mwanaume utachoka

2.Mheshimu.

3.mpe yote kitandani

4.usimufokee

5.usiwe mropokaji

6.mpikie chakula kitamu

7. Uwe msafi

8. Usiwahi shika simu yake.

9.heshimu wazazi wake.

10. Be a supportive wife.

11. Kuwa mwanamke asiye omba pesa ovyo ovyo.

Wanaume kuna kitu tumesahau hapo.!?
 
1 . Mpe nafasi ya kucheat .as long atatumia protection n arudi kwa nyumba. Kwa maana ukishindana n mwanaume utachoka

2.Mheshimu.

3.mpe yote kitandani

4.usimufokee

5.usiwe mropokaji

6.mpikie chakula kitamu

7. Uwe msafi

8. Usiwahi shika simu yake.

9.heshimu wazazi wake.

10. Be a supportive wife.

11. Kuwa mwanamke asiye omba pesa ovyo ovyo.

Wanaume kuna kitu tumesahau hapo.!?
Yote hayo nayaweza isipokuwa Namba 8!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom