Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,865
1 . Mpe nafasi ya kucheat .as long atatumia protection n arudi kwa nyumba. Kwa maana ukishindana n mwanaume utachoka
2.Mheshimu.
3.mpe yote kitandani
4.usimufokee
5.usiwe mropokaji
6.mpikie chakula kitamu
7. Uwe msafi
8. Usiwahi shika simu yake.
9.heshimu wazazi wake.
10. Be a supportive wife.
11. Kuwa mwanamke asiye omba pesa ovyo ovyo.
Wanaume kuna kitu tumesahau hapo.!?
2.Mheshimu.
3.mpe yote kitandani
4.usimufokee
5.usiwe mropokaji
6.mpikie chakula kitamu
7. Uwe msafi
8. Usiwahi shika simu yake.
9.heshimu wazazi wake.
10. Be a supportive wife.
11. Kuwa mwanamke asiye omba pesa ovyo ovyo.
Wanaume kuna kitu tumesahau hapo.!?