Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Kwani cdm nani ana mvuto kuzidi nape?
heu toa upumbavu wako hapa..kama huna cha kuongea kaa kimya....yaani wewe na akili zako unamuona nape ni mwenye upeo na akili timamu?
Kwani cdm nani ana mvuto kuzidi nape?
Jakaya Ndo Tatizo kama ulikuwa hujui.Tanzania inazaliwa upya Thanks Jakaya
Hapo utingo shughuli ndipo ilipo watu kama akina Lowasa, Chenge, Rostam ataweza kuli-handle hilo kundiAgree, lakini ataweza kuongoza majeruhi wengi namna hiyo? na How strong he is to handle kundi la RA au EL plus Makamba?
Ubunge lakini hawakupewa na CCM, ni wannchi waliwapa. Siasa sio kama mathematics kuwa logically if x>0 then it means X is positive number!