Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Kubadili uongozi si hoja ya msingi, kitu mhimu ni kwamba watatekeleza matakwa ya walio wengi? Ni vyema wangeandaa maandamano kupongeza mafanikio ya utekelezaji na si usanii wa kubadili sura katika uongozi.
 
Wanajf

Baada ya kufanya kazi kubwa ya kukisafisha Chama sasa hivi kinaanza kumeremeta

Nakumbushia mkoa wa DAR es salaam kuandaa maandamano makubwa ya kumpokea na kumpongeza

Hata wanaJF wenye mapenzi mema na JK na MUkama kuwapa nguvu maana TANzania inazaliwa upya

Afanye kwanza mabadiliko mpaka serekalini, la sivyo ni usanii tupu!!
 
Kati ya wote waliondoka mimi nimemwona Makamba tu, maana kauli zake zilikuwa tata, wengei naona kama ni mti umenguka na "climbers" zake.
 
Kwani cdm nani ana mvuto kuzidi nape?

cdm ina vijana wengi ngazi ya uongozi wenye mvuto.mfano lema,mdee,wenje,sugu,mnyika n.k. isitoshe wazee walioko cdm wana maono ya ujana,kila mtu analijua hili hata JK pia.kwa ufupi naweza kusema kuna vita ya kugombea vijana na mshindi wa vita hiyo ndio atakayeongoza nchi hii miaka ijayo.
 
Wanajf

Baada ya kufanya kazi kubwa ya kukisafisha Chama sasa hivi kinaanza kumeremeta

Nakumbushia mkoa wa DAR es salaam kuandaa maandamano makubwa ya kumpokea na kumpongeza

Hata wanaJF wenye mapenzi mema na JK na MUkama kuwapa nguvu maana TANzania inazaliwa upya

hapo kwenye red na bold:

kawaambie kabisa mimi sina mapenzi mema nao.

wala wasijisumbue.
 
Mnaongelea mvuto wa sura au mvuto wa brain? Kama ni wa sura tanzishe shindano la kumtafuta.
Kapenga, katutoa kwenye dhumuni letu nasi tumemruhusu.
 
Hao walio ondolewa walikuwa na hasara gani/faida gani kwa taifa ukimtoa Makamba maana tunajua alisababisha mauji huku Arusha....
 
'MIMI NANG'ATUKA ILA WOSIA NNAOWAACHIA NI KUWA BILA CCM IMARA TZ ITAYUMBA'dat kind of a speech was given by Mwalimu JK Nyerere,jamaa wameshtuka leo kuwa bila CCM imara maneno ya Mzee Nyerere yatatimia dat y wameamua kumwagana.well done JAkaya katika hili.
 
The only poison is Jakaya Mrisho kikwete, get rid of him you will now call it rebirth of your already burried party.
 
Hivi makamba alihusikaje katika masuala ya ufisadi? Ni kukosa uzalendo kusema kwamba thithiem imezaliwa upya. Hii syo kweli hata kidogo. Hakuna chema kitakachotoka thithiem mpaka mafisadi wote watakapo ondoka. Na katika hili fisadi mkuu hajaondoka!
 
Chama bado kitakua hovyo mpaka m/kiti aliyepo ang'olewe. Secretariati ni chombo cha kuwasilisha matakwa ya m/kiti tu, hawana kazi ya ziada. M/kiti atoke aje mwenye ajuae kazi na matakwa ya wananchi
 
Back
Top Bottom