Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
Duu! Kweli CCM imezaliwa upya?. Aliekua anawakingia kifua mbona bdo yupo?, upya au viraka?
Ngoja kwanza........kwa hiyo siyo Mukama? Kikao kinaisha lini ili hizi tetesi ziishe?Mwanajf, kuna taarifa zimenifikia hivi punde zikisema kuwa Mhe.Samuel Sitta amepita katika mchakato wa kuwa Katibu Mkuu wa CCM kuchukua nafasi ya Bw.Makamba.Uamuzi wa kumchukua Ndugu Sitta umetokana na umahiri wake katika kupiga vita ufisadi na pia uzalendo alionao kwa nchi yake.Itakumbukwa alipo kuwa Spika wa Bunge aliweza kuliendesha Bunge kwa "Speed and Standards",kitu ambacho kilimfanya akubalike hata kwa wananchi wa kawaida.
Lakini pia uteuzi huo utakifanya chama hicho kupata Katibu Mkuu Mtendaji ambaye atavunja makundi yaliyopo ndani ya chama hicho hivi sasa.Sitta amefanikiwa kuwadondosha makada wenzake kama Jaka Mwambi,Wilson Mukama n Lukuvi.
Wanajf
Baada ya kufanya kazi kubwa ya kukisafisha Chama sasa hivi kinaanza kumeremeta
Nakumbushia mkoa wa DAR es salaam kuandaa maandamano makubwa ya kumpokea na kumpongeza
Hata wanaJF wenye mapenzi mema na JK na MUkama kuwapa nguvu maana TANzania inazaliwa upya
Tanzania inazaliwa upya Thanks Jakaya
akitaka asafishe kweli itabidi fagio lipite ikulu na serikalini kwa kuwaondoa vibaraka wa RA wakiwemo "waziri wa tanesco" na "mchapa barua wa ikulu"
Tusisumbue watu kuwaomba wawepo kwenye maandamano, kwani RA sijaona kwma kaenguliwa, Chenga/Chenge sijasikia km kaondoka, hawa ndiyo harufu mbaya inatoka kwao, maamuzi magumu sijayaona, bado ambayo JK ameyafanya kwani Manyuzi si mbaya sn kuliko huyo Imukama wao, kwani maandamano tutayafanya km katiba itafanywa kwa uhuru wa kweli na uwazi bila kuwakandamiza baadhi ya watu.
No need to go.