Mambo matano ya kutia moyo kwenye tukio la muuaji Hamza

haya mapumbavu huwa nayaambia.

unakumbuka kifo cha jpm,hakacheza mpaka mziki matako juu,sasa yanaipata fresh yao.
Ukiyaambia ukweli basi yatakuona nawe ni kada wa CCM au ni 1wapo ya Rafiki, Ndugu, Jamaa au uko pa1 kikazi na huyo waliyekuwa wanamponda.

Kisa na mkasa, eti kila wanachoona wao ni sahihi basi nawe ukubaliane nao hata kama hakina mantiki.

Hii nchi inahitaji Raisi mwenye kaliba ya Hayati Magufuli mara 5 ya pale maana sisi ngozi nyeusi ni wabishi sawa na yale mawe ya baharini yanayopigwa na mawimbi kila siku lakini hayatakati kamwe.
 
Sasa huoni hapa pekee tofauti iliyopo katika muundo wa jeshi la polisi la Kenya na Tanzania? Au ushauri wako ni kutaka Tanzania iige tu kwa vile Kenya walifanya!

Ukichukua mfano wa 'Westgate', halafu ufananishe na hili tukio la mtu mmoja (at least kwa sasa, bado inajulikana ni 'lone ranger', halafu ufananishe na tukio lililopangwa na kundi la watu, bado unaonyesha kwamba matukio haya huyaelewi vizuri.
Kweli,hata huyu Hamza hakutaka kuua wananchi tofauti na westgate!
 
Polisi wana special unit ya kupambana na ugaidi na uhalifu inayoitwa CRT (Crisis Response Team) Kama ilivyo RECE Squad ya Kenya, e.t.c
Hiyo Crisis Response Team ni Efficient kiasi gani?Wanao uadilifu, weledi/vifaa na utaalam wa kutosha?Je,huwa wanajitathmini kuona mafanikio yao(Evaluation)? Inaonekana wanaua zaidi badala ya kukamata wahalifu.
 
Polisi walitumia kitoto ndoo cha risasi kuua mtu mmoja!
Wangekua watatu ingebidi warudi kituoni wakaongeze risasi
 
Raia wamefanya mambo out of ignorance, wangekuwa wanajua athari za kuwa eneo lile tena wamesimama wangesaidia zaidi polisi wetu. Mtu anaona mtu anapiga risasi na bado amesimama wima wima.

Kurekodi ni 50/50 na ni hatari bado sio swala la kuhimiza, raia anatakiwa kutawanyika kutoka eneo la tukio, sio kuzagaa zagaa. Pale jamaa angewageukia saizi tungeongea na kushauri tofauti na uzi wako.

Silaha ya moto sio kitu chakucheza nacho hata kidogo.
Wanawake kwa kuogopa kufa du ,ndiyo maana watu wanakimbilia chanjo kisa hofu ya kufa dunia ijayo inaitaji watu majasiri tu
 
Piga chini IGP,RSO,DCI kwanza...hao wanabidi wawe chini ya ulinzi kuanzia sasa. Hakuna maana polisi inakua makini kwenya kuwakamata wanasiasa mfano wanao hitaji Katiba Mpya tena armless huku walishindwa kufanyakazi dhidi uhalifu kama huu
 
Police wamefanya kazi kubwa
Kazi kubwa ipi. Walifanya kazi kizembe. Yule bwana alikuwa na bunduki mbili ambazo idsdi ya risasi zake zinajulikana, polisi walikuwa na risasi nyingi kuliko huyo bwana, polisi walikuwa kwenye sehemu zenye kujikinginga na kuta hivyo walikuwa na uwezo wa kuhakikisha huyo bwana anaishiwa risasi. Walikuwa na mabomu ya machozi na maji washa washa. Bado wana wadunguaji. Mhusika alikuwa ni mmoja tu hivyo kumuua mtu aliyekuwa ameishiwa risasi zote na alikuwa ameshajitoa kufa sio anatoroka walifanya kazi ya kawaida ssna. Sio kubwa.
 
Raia wamefanya mambo out of ignorance, wangekuwa wanajua athari za kuwa eneo lile tena wamesimama wangesaidia zaidi polisi wetu. Mtu anaona mtu anapiga risasi na bado amesimama wima wima.

Kurekodi ni 50/50 na ni hatari bado sio swala la kuhimiza, raia anatakiwa kutawanyika kutoka eneo la tukio, sio kuzagaa zagaa. Pale jamaa angewageukia saizi tungeongea na kushauri tofauti na uzi wako.

Silaha ya moto sio kitu chakucheza nacho hata kidogo.
Jamaa angeamu kuua Kila raia leo tungekuwa tunaongeq msiba wa Taifa
 
Swali kujiuliza kwanini polisi walikuwa wanataka washambuliane? Je inawezekana jamaa hakuwa mhalifu ndio maana askari mwenzao akawa anazuia wenzake wasimuue? Na wakati huo huo wenzao wanataka kuondoa ushahidi?

Maana kama jamaa alikuwa ni muuaji mbona hajashambulia raia yoyote, maana yake ni kwamba kuna kitu kilikuwa kinaendelea kati ya askari na jamaa.

Hii inanifanya nikubaliane na wale wanao sema hii Zombe style, kama ni Zombe style askari wanatakiwa wawe jela na sio kupongezwa kwa mauuaji kwa mtu asiyekuwa na hatia.
Halafu hata baada ya jamaa kudondoshwa waliendelea kumshindilia risasi nadhani kufuta kabisa ushahidi
 
Ukiyaambia ukweli basi yatakuona nawe ni kada wa CCM au ni 1wapo ya Rafiki, Ndugu, Jamaa au uko pa1 kikazi na huyo waliyekuwa wanamponda.

Kisa na mkasa, eti kila wanachoona wao ni sahihi basi nawe ukubaliane nao hata kama hakina mantiki.

Hii nchi inahitaji Raisi mwenye kaliba ya Hayati Magufuli mara 5 ya pale maana sisi ngozi nyeusi ni wabishi sawa na yale mawe ya baharini yanayopigwa na mawimbi kila siku lakini hayatakati kamwe.
Hivi ulizaliwa kihalali au alikukunya!
 
1. Polisi wamefika eneo la tukio kwa wakati na kupambana kiume. Hongereni Sana.

2. Wananchi kwa umoja wao wamezuia baadhi ya watu kutofika eneo la tukio yakiwemo magari, may be wasingewazuia waendesha magari madhara yangekuwa makubwa zaidi ikiwemo kukutana na risasi.

3. Clip zinaonyesha wananchi wamezuia polisi kushambuliana, hii ilitokea wakati wa Westgate.

4. Wananchi pamoja na kuwa kwenye hatari wametumia technology kuweka kumbukumbu. Wamekuwa waandishi wa habari, hii hali ikiendelea kwenye jamii uhalifu utakuwa unarekodiwa na ushahidi kupatikana.

5. Wananchi wamemtambua muuaji kabla ya dola na hivyo kusaidia kupatikana kwa taarifa zake,naamini itasaidia sana uchunguzi huko mbele hasa kuhusu tabia za muhusika na Kama ana watu wengine wa kariba yake.

Ushauri
Tutumie utaratibu uliotumiwa na Kenya wa kuwa na kikosi kimoja Cha kupambana na Ugaidi kinachoundwa na vyombo vyote na chenye commanding system moja.

Nakumbuka Bunge la Kenya lilipofanya tathimini ya athari za tukio la Westgate walibaini askari walipotea kwa sababu walirespond at a time lakini wakiwa na uniforms mbalimbali na wakiwa na viongozi tofauti, kila kikosi kikawa kinajifanyia kinavyoona na kufanya washambuliane ndani.

Kongole kwa jeshi la Polisi.
Huu ni ugaidi au kisasi?
 
Hate versus Police ni kubwa sana kutokana na dhuluma zao na kubambikiza wananchi makosa, jokes aside unahitaji kuwa na ngozi ya mamba kuwaonea huruma Polisi

Jana kwenye hotuba ya Kikao Kazi na TANPOL Rais SSH ameongea mambo yanayuhusu dhuluma na unyanyasaji wa Polisi. Kuna aya kama 3 amerudia Rais kuhusu upelelezi usiokamilika na watu kukamatwa.
Mwee, WANASEMA!!!!! wale wa kule lumumba wanayo NGOZI ya hivihivi.
1629974788019.png
 
Back
Top Bottom