Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Kwa nini unakazania kula mawe?!
Kuna ugali na dagaa, kuna kande! Au wewe ni wale ambao mke akitaka kucheza na wewe weekend unamwambia unataka nikae na wewe hapa tule mawe?!

Kila kitu kina nafasi yake bana! Leo uchumi umeyumba kuna unga tunywe uji! Tufurahi
Big up!!Kama unamaanisha lakini!!!
 
Nafikiri wawili wanapoamua kufunga pingu za maisha kila mmoja anamjua vyema mwenzake!
Sitaki kuamini eti uchumi umeyumba ada imechelewa muachane! Hakuna wakati ambao mwanaume anahitaji faraja kama kipindi cha mkwamo! Mpe mawazo mbadala na wakati huo jukumu la kulea ni la mume na mke!

Baba amekwama mama ana kazi, au ana biashara kuna tatizo gani akaisogeza familia wakati baba anapambana?; upendo unabeba kila kitu hapo!
Umeongea point kubwa sana!!!Ila ni vijana wachache wanaweza hayo siku hzi wengi hawana uvumilivu kama zamani
 
Umeongea point kubwa sana!!!Ila ni vijana wachache wanaweza hayo siku hzi wengi hawana uvumilivu kama zamani
Tatizo sio uvumilivu, watu wanaoana bila kuujua upande wa pili wa mwenzake!
Je, kipindi cha uchumba ulishawahi ishiwa ukaona reaction yake?!
 
Mfano Sasa ukishaujua upande wa pili wa mwenzako si ndo pa kuanza kuvumilia madhaifu utayoyaona Kwake! ?

Bado uvumilivu ni tatizo!!
Tatizo sio uvumilivu, watu wanaoana bila kuujua upande wa pili wa mwenzake!
Je, kipindi cha uchumba ulishawahi ishiwa ukaona reaction yake?!
 
Back
Top Bottom